Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then Black African Soap itakufaa, ukitumia vizuri within one week utaona mabadilikoNgozi yangu ni ya mafuta..hiyo shea butter niliambiwa ni ya ngozi kavu
Mkuu hiyo Acnes ni lotion, cream, na inauzwa sh ngapi?Tumia acness
hiyo waipata maduka ganTumia acness
hapa kila mtu atakuja na madawa yake madoa huwa yanaitaji muda sana kutoka hakuna kitu kitakutoa madoa mara moja so bora uendelee na unachotumia ukipe muda sanaSijawahi paka cream.ni madoa yaliyobaki baada ya kutumbua chunusi..na uso wangu unamafuta kwa hiyo napata chunusi za mara kwa mara..wewe baba wewe mbona umejaa stress tupu kuwa na positive mind basii..kama mkeo anajichubua sio wote wanafanya hivyo hebu shika adabu yako kama huna msaada unakaa kimya.mxiuuuuu hovyo
Zinapatikana wapi mkuuUmejaribu kutumia sabuni ya TETMOSOL.?
Kama bado nakushauri ufanye ivo kwa sababu Tetmosol ni sabuni ya magonjwa yote ya ngozi
Natumai itakusaidia
Pole sana
Zipo kwenye Duka lolote la DawaZinapatikana wapi mkuu
Umejaribu kutumia sabuni ya TETMOSOL.?
Kama bado nakushauri ufanye ivo kwa sababu Tetmosol ni sabuni ya magonjwa yote ya ngozi
Natumai itakusaidia
Pole sana
Kila la kheri[emoji120][emoji120]Asant sana pharry.nitaitafuta
Tumia acness
Mi mwanaume ila hongera ni dawa na ni mafuta mazuri sanaAsante sana mungu akubariki sana dada yangu,nimetumia hii acness chunusi zote zimeisha.sijui nikushukuru vipi
Usipake mavitu vitu ngozi inaharibika, chukua asali na mdalasini changanya jipake usiku, asubuhi utaona ngozi inavokua...
Liwa sijawahi kutumia, Ila hiyo asali na mdalasini nzuri, unanawa tu na maji yoyoteNimetumia acness..chunusi zikaisha..naweza kupaka hii asali na mdalasini kuwa soft zaidi?napaka kila siku usiku?asubuhi nanawa na maji ya moto au ya baridi?kuna mtu alinishauri nipake liwa nayo ni nzuri?
Ikiwa bado hujapata dawa. Tumia even out day and night cream hii ni asilia na huondoa madoa yote usoni.Naomba msaada kama mtu anajua dawa ya kuondoa vidoa doa vyeusi vilivyoachwa baada ya kutumbua chunusi anisaidie nakosaa amani na uso wangu.
Evelyn ni asili mbichiUsipake mavitu vitu ngozi inaharibika, chukua asali na mdalasini changanya jipake usiku, asubuhi utaona ngozi inavokua...
Hata ya kawaida inafaaEvelyn ni asili mbichi