mbona pic ya kwanza ni mwafrica ukafatisha wazungu inamaana huyo mwafrica haifai au ukitumia hivyo inakufanya mzugu? na Huo unga wa viazi mbatata&lonzi unapatikanaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona pic ya kwanza ni mwafrica ukafatisha wazungu inamaana huyo mwafrica haifai au ukitumia hivyo inakufanya mzugu? na Huo unga wa viazi mbatata&lonzi unapatikanaje?
KARANGA TIBA YA KUONDOWA CHUNUSI USONI.Karanga znapatkanaje mkuu kwa tiba ya kuondoa chunusi
Lozi ndo nini?!DAWA YA KUONDOWA CHUNUSI USONI
View attachment 321554 View attachment 321555
Hii ni dawa nzuri kwa wale wote wenye Chunusi, kama utafuata maelekezo vizuri utaweza kupata matokeo mazuri.
Mahitaji
Kijiko cha chai kimoja - Juice ya Viazi mbatata
Nusu kijiko cha chai - Unga wa Lozi
robo kijiko cha chai - Manjano
Jinsi ya kutengeneza
Changanya vitu vyote pamoja kisha pakaa kwenye vipele vyeusi (usipake uso mzima kwenye vipele tu). Iache kwa muda wa nusu saa au hata unaweza kulala nayo. Pakaa kila siku kwa muda wa wiki mbili. Baadae utapaka kwa wiki mara mbili mpaka uone umeondoka weusi.
MATIBABU MBADALA
Haya hujumuisha lishe bora na usafi wa mwili.Ni vema kuoga mara kwa mara na kujifuta maji kwa taulo safi na kuiweka ngozi katika hali ya ukavu
nakuepuka upakaji wa mafuta mengi ya mgando hasa wakati wa joto. Watu wenye chunusi wanashauriwa kula mlo kamili wenye vyakula vyenye
madini ya zinki,nyuzinyuzi,matunda , mboga za majani,vitamin B complex na Chromium. Ni vema kuepuka au kupunguza matumizi ya pombe,vyakula
vya maziwa,tumbaku,sukari,vyakula vilivyoandaliwa viwandani na vyakula vyenye Iodine nyingi kama vile chumvi.
KARANGA TIBA YA KUONDOWA CHUNISI USONI.
TIBA.1
1. Karanga Zinaondoa Chunusi Usoni na kuufanya Uso kuwa Laini na kuleta uzuri wa Sura.
Chukua Karanga kijiko kimoja kidogo zisage kisha changanya na kipimo sawa cha juisi ya ndimu Au limao halafu unapaka kila siku Usoni kabla ya kulala.
TIBA.2
KUONDOA MAKOVU YA CHUNUSI.
1. Paka ‘bleach cream’ kwenye sehemu zenye makovu, cream hii husaidia kuondoa makovu.
2. Tumia ‘scrub’ ambayo huondoa ngozi ya juu (exfoliate) kwa kupaka kwenye sehemu zenye makovu kama usoni na kwingineko ambako ni rahisi kupaka. Unaweza kufanya zoezi hilo angalau mara mbili kwa wiki.
3. Tumia bidhaa ambazo zina ‘hydroxyl acids`, hutibu ngozi yako na itaonekana nyororo. Unaweza kupata hydroxyl acidstofautitofauti za ngozi (skin care products) kama vile cleansers na lotion.
4. Pia unaweza kuyafanyia masaji makovu ya chunusi ili kuvunja mafuta yaliyoganda ambayo huleta chunusi.
5. Fanya ‘diet’, unatakiwa kula vyakula vyenye vitamin na nutrition, vinasaidia kutengeneza ngozi yako kuwa na afya.
UKIWA NA SWALI AU SHIDA YOYOTE UNAWEZA KUNITAFUTA KWA KUBONYEZA HAPA.Mawasiliano
Lozi ndo nini?!
Mtafute MziziMkavu atakusaidia
wahitaji wa lozi tamu, au sweet almond wanitafute bei naanzia 5000View attachment 328594
Hii hapo juu ndio Lozi au Almond nenda katika maduka ya Super market makubwa kaulize utapata au nenda Sokoni Kariakoo uliza utapata hiyo Lozi aka Almond.
Asante sana mjep nimesha mpata tangu janaHebu jaribu kupita hapa, au bofya hilo jina lake na pia unaweza kutafuta hilo jina lake humu kwa kuliandika katika kitufe cha kutafuta utakutana na baadhi ya mada zake
Dawa ya kuondoa Chunusi kwa tiba asilia
Asante sana mjep nimesha mpata tangu jana
Ahsante kwa tangazo lako.. Sasa hizo lozi ni za wapi ? na Uzito wa kilogrm 1 ni kiasi gani ?wahitaji wa lozi tamu, au sweet almond wanitafute bei naanzia 5000
Gentaline-C craemMsaada wakuu ninasumbuliwa na vipele chini ya kisogo kwenye shingo,anaejua dawa au mahali wanapoweza kutibu naomba kujuzwa napata shida Sanaaa....
Wasalaam
Ni unywaji wa maji mengiNijuzeni dawa ya kuondoa madoa madoa meusi kwenye ngoz bila kubadili rangi ya ngozi
thanx wana JF