Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Karanga znapatkanaje mkuu kwa tiba ya kuondoa chunusi
 
Karanga znapatkanaje mkuu kwa tiba ya kuondoa chunusi
KARANGA TIBA YA KUONDOWA CHUNUSI USONI.

TIBA.1


Karanga Zinaondoa Chunusi Usoni na kuufanya Uso kuwa Laini na kuleta uzuri wa Sura.

Chukua Karanga kijiko kimoja kidogo zisage kisha changanya na kipimo sawa cha juisi ya ndimu Au limao halafu unapaka kila siku Usoni kabla ya kulala.
 
DAWA YA KUONDOWA CHUNUSI USONI

View attachment 321554 View attachment 321555


Hii ni dawa nzuri kwa wale wote wenye Chunusi, kama utafuata maelekezo vizuri utaweza kupata matokeo mazuri.


Mahitaji

Kijiko cha chai kimoja - Juice ya Viazi mbatata

Nusu kijiko cha chai - Unga wa Lozi
robo kijiko cha chai - Manjano
Jinsi ya kutengeneza


Changanya vitu vyote pamoja kisha pakaa kwenye vipele vyeusi (usipake uso mzima kwenye vipele tu). Iache kwa muda wa nusu saa au hata unaweza kulala nayo. Pakaa kila siku kwa muda wa wiki mbili. Baadae utapaka kwa wiki mara mbili mpaka uone umeondoka weusi.

MATIBABU MBADALA
Haya hujumuisha lishe bora na usafi wa mwili.Ni vema kuoga mara kwa mara na kujifuta maji kwa taulo safi na kuiweka ngozi katika hali ya ukavu

nakuepuka upakaji wa mafuta mengi ya mgando hasa wakati wa joto. Watu wenye chunusi wanashauriwa kula mlo kamili wenye vyakula vyenye

madini ya zinki,nyuzinyuzi,matunda , mboga za majani,vitamin B complex na Chromium. Ni vema kuepuka au kupunguza matumizi ya pombe,vyakula

vya maziwa,tumbaku,sukari,vyakula vilivyoandaliwa viwandani na vyakula vyenye Iodine nyingi kama vile chumvi.

KARANGA TIBA YA KUONDOWA CHUNISI USONI.

TIBA.1


1. Karanga Zinaondoa Chunusi Usoni na kuufanya Uso kuwa Laini na kuleta uzuri wa Sura.

Chukua Karanga kijiko kimoja kidogo zisage kisha changanya na kipimo sawa cha juisi ya ndimu Au limao halafu unapaka kila siku Usoni kabla ya kulala.


TIBA.2

KUONDOA MAKOVU YA CHUNUSI.


1. Paka ‘bleach cream’ kwenye sehemu zenye makovu, cream hii husaidia kuondoa makovu.

2. Tumia ‘scrub’ ambayo huondoa ngozi ya juu (exfoliate) kwa kupaka kwenye sehemu zenye makovu kama usoni na kwingineko ambako ni rahisi kupaka. Unaweza kufanya zoezi hilo angalau mara mbili kwa wiki.

3. Tumia bidhaa ambazo zina ‘hydroxyl acids`, hutibu ngozi yako na itaonekana nyororo. Unaweza kupata hydroxyl acidstofautitofauti za ngozi (skin care products) kama vile cleansers na lotion.

4. Pia unaweza kuyafanyia masaji makovu ya chunusi ili kuvunja mafuta yaliyoganda ambayo huleta chunusi.

5. Fanya ‘diet’, unatakiwa kula vyakula vyenye vitamin na nutrition, vinasaidia kutengeneza ngozi yako kuwa na afya.


UKIWA NA SWALI AU SHIDA YOYOTE UNAWEZA KUNITAFUTA KWA KUBONYEZA HAPA.Mawasiliano
Lozi ndo nini?!
 
Lozi ndo nini?!

lozi.jpg


Hii hapo juu ndio Lozi au Almond nenda katika maduka ya Super market makubwa kaulize utapata au nenda Sokoni Kariakoo uliza utapata hiyo Lozi aka Almond.
 
Msaada wakuu ninasumbuliwa na vipele chini ya kisogo kwenye shingo,anaejua dawa au mahali wanapoweza kutibu naomba kujuzwa napata shida Sanaaa....

Wasalaam
 
Nijuzeni dawa ya kuondoa madoa madoa meusi kwenye ngoz bila kubadili rangi ya ngozi

thanx wana JF
 
Back
Top Bottom