Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Mmmh? Makubwa!!!
Ndugu kama huna msaada bora upite.
Unanijua mpaka uanze kunishauri kitafuta hela? Au umejuaje kama sina hela?Mkuu tafuta hela, achana na mambo ya kujipodoa podoa
Asante Kwa ushauri.
Upi uo mkuu?nahisi ushauri umeshapewa hapo juu
Acha kulia lia kama mtoto wa kike, pambana na hali yakoUnanijua mpaka uanze kunishauri kitafuta hela? Au umejuaje kama sina hela?
Mm nimeomba ushauri jinsi ya kukabiliana na mabadiliko ya ngozi yangu ww unaniambia nitafute hela kama ningeitaji msaada wa jinsi ya kutafuta ela ningeenda kwenye jukwaa la uchumi.
Hapana mm bado mdogo sana kiumri mkuuUkiona ngozi inashindana na wewe kunyooka jua uzee umekufika mwilini mwako
AsanteAcha kulia lia kama mtoto wa kike, pambana na hali yako
wewe ni mke au mume?Upi uo mkuu?
AsanteAcha kulia lia kama mtoto wa kike, pambana na hali yako
AsanteAcha kulia lia kama mtoto wa kike, pambana na hali yako