Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Uwe unaosha tu uso wako kwa maji ya vuguvugu na sabuni, usiwe unapaka kitu chochote usoni, kama ni mafuta paka mwilini acha uso, pia usiwe unabinya binya na kutumbua, fanya kama huzijali zitaisha tu.
Kaonane na daktari wa ngozi, acha kutumia madawa hovyo ndio unazidi kuzalisha mafuta,
Kaonane na daktari wa ngozi, acha kutumia madawa hovyo ndio unazidi kuzalisha mafuta,