Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,202
- 2,045
daaah bora hata umesemaHii si dawa ya tetekuwanga jmn,chunusi inaingiaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaah bora hata umesemaHii si dawa ya tetekuwanga jmn,chunusi inaingiaje
Habarini wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nimepata tatizo la chunusi muda sasa ka mwezi na sehemu. Ilikuwa 23/12/2016 vilikuja vichunusi kidogo nikaelekezwa nitumie sabuni ya zoazoa basi nilipotumia tu ndo ikawa kosa chunusi zikajaa usoni mpaka nikawa najiogopa yaani asikwambie mtu chunusi zinaleta depression sana na embrass hasa kwasasa ma 20+.
Nikaenda hospitali nikaambiwa ninunue acnes nimetumia dawa ndani ya wiki na sijaona mabadiliko yoyote yani full confusion tu.
MSAADA
Kwa yoyote mwenye msaada wa namna ya kuondokana na tatizo hili naomba nisaidiwe jamani, hii hali inatesa jamani BILA KUSAHAU USO WANGU NI WA MAFUTA.
bei gani hii inauzwaEpuka kupaka Lotion au Cream Jipake Almond Oil![]()
Hello dear kama bado tatizo linakusumbua nicheck kwa simu namba 0672416294 kuna bidhaa za kampuni ya Oriflame zimetengenezwa kwa kutumia malighafi asilia.. Ni nzuri kwa ng'ozi na hazichubui.. Karibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha punyeto dogo...
nimemaliza hatua ya kwnza zimeishaHaichubui itakukausha hayo mafuta yanayosababisha machunusi..tumia ndani ya week utaona changes ukimaliza nitakupa hatua yapili
ingekuwa poa kama ungetaja na bei zakePole asana kwa tatizo hilo, ukiona bado linakusumbua wasiliana nami kwa simu namba 0672416294. Kuna bidhaa kutoka kwenye kampuni ya Oriflame zitakusaidia sana
ingekuwa poa kama ungetaja na bei zakePole asana kwa tatizo hilo, ukiona bado linakusumbua wasiliana nami kwa simu namba 0672416294. Kuna bidhaa kutoka kwenye kampuni ya Oriflame zitakusaidia sana
acha kejeliMiaka hii bado wapo wenye chunusi?
Kuna set mbalimbali na huwa napenda kumuonyesha mtu picha kutoka kwenye kitabu (catalogue) kabisa... Hapa siwezi kukutumia catalogueingekuwa poa kama ungetaja na bei zake