Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Matibabu ya chunusi ni mapana sana Mkuu sio rahisi kama unavyodhani, ni vyema ungeenda hospital watafute chanzo kwanza ndipo matibabu yaendelee.

Bagwell
Asante kwa ushauli mkuu
 
Chunusi husababishwa na mafuta yaliyo kwenye ngozi, kikubwa cha kufanya usiangaike na dawa za kuondoa chunusi za aina yoyote ile make unaweza jikuta unaongeza tatizo zaidi. Solution ni kwamba unapoenda kuoga paka sabuni usoni ambayo sio medicated kisha subiri mpaka ikauke baada ya hapo osha kwa maji safi kisha usipake mafuta aina yoyote ile baada ya wiki moja utaanza kuona matokeo mazuri.
Kama sabuni za aina gani mkuu?
 
RTI, Ndio ukitumia sabuni kali kama carambola au face wash nyingi zina alcohol zinakausha mafuta ya asili ya ngozi( sebum) achana nazo tumia mild soaps. Tumia na mafuta ya nazi usiku kabla ya kulala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom