Asee huyu Oshun mbona mtamu hivi!Chunusi ni aina ya Jini ambalo huwa mara nyingi anaishi kwenye majini kwa maana we can say ni spirits amazo zinaishi majini
hawa spirits wamegawanyika kwa maana ya good spirits na evil spirits
evil spirits ni spirits ambazo zinaleta madhara kama ukame, njaa, mafuriko na mauaji
chunusi ni evil spirits ambao kwa hapa kwetu wanaishi kwa kunyonya damu za viumbe wengine inaweza kuwa mnyama au binadamu
sie Tanzania ubishi wetu na "kuelimika" tunajifanya HATUAMINI kuwa kuna kitu kama chunusi lakini chunusi wapo kila sehemu Duniani na kila eneo kuna jinsi wanavyomuita
MFANO:
tujika kwa Ainu Mythology kwa wajapani huwa wanamwita Amemasu huyu amemasu anaishi katika ziwa Mashu huko hokkaido
Australia kuna Chunusi wao wanamuita Eingana au mother of all na umbo lake huyu ni kwamba hana PAPUCHI
Wenzetu wachina wana mtu anaitwa GONG GONG ambaye huyu alikuwapo tokea
before 221 BCE)
wa eGypt na wao wanaye anaitwa Knum
huyu nitakuja kumwelezea vizuri siku nyingie kwani wamemjengea hadi Temple huko Elephantine na kizazi chake huyu amewazaa kina Seth, Neith, Isis mpaka kizazi cha mwisho kina Kebechet
tukija wagiriki ndio balaa maana wana kina Ladon, Kina Pan etc hawa wote ni chunusi wa nchi hizo
Hawai yupo wanamwita Kalanoa au Tangaroa
ndugu zangu wahindi pale Ganges River kuna GANGA yupo pale ametulia
Zimbabwe hapo jirani kuna Nyami Nyami... yaani huyu undava undava tu kwake
Wanaigeria wanamjua sana OSHUN ambaye ni chunusi maarufu sana
Maji ni uhai ila usicheze nayo.yatakudhiri km yule jamaa etu mwenye dem w kizungu@manuuHabari mbaya hii...Pamoja na mambo mengi ya ajabu yaliopo kwenye maji ila maji yenyewe tu mimi nayaheshimu sana na si kwa ajili nimezaliwa kaskazini pasipo na bahari hapana ila hata yale ya mtoni mi sitakagi urafiki nayo kabisa, One mistake two goals.
Shauri yako...hachelewi kubadilikaHuyo wa Naijeria si unaweza kumla mambo...?
unanikumbusha ilo tukio la huyo kijana nilishiriki mazish yake .kwa kweli ukipata simulizi za hapo pahala alipokwenda kuogelea znatisha.ila ni kweli watu wanapoteaga hpo na kufa kwa interval ya vipind flan flan.na miili yao hupatkana kuanzia saa sita mchana au baada ya adhana!!ngoja watakuja wajuzi kutujuza zaidi maana maswali ni mengi kuliko majibuDonge na beach inaitwa raskazon
sawa kbisa walikuta kichwa kinaelea tu pemben ya boti ila mwili upo ndani ya maji.!!kuna babu wa kihindi pale alitoa anglizo waje asubuh kuanzia saa5-7 .kma ni chunusi wataupata mwili nda huo na kweli baada ya adhana wakauona mwili.mambo yanatishaDah hii story mi nilklikuepo huyo alikuwa anaruka kwenye bot zilizopaki yatch club waliingilia tanga bathing club jina maarufu beach ya waswahili mimi nilikuepo raskazone swiming club ni karibu sana na huyo alipatikana jumatatu saa saba mchana
Hivi hicho ni kichwa cha mbwa mwitu ama mbuzi ?Huyo wa Misri mwenye kichwa cha mbwa mwitu ni Anubis.
GANGA ndio jina la mto Ganges na yule mtu mwenye mikono minne ni Vishnu au Krishna.