Chunusi yaua kijana Tanga

Chunusi yaua kijana Tanga

Aisee hizi kitu zipo bana.


Kipindi nakua tulikuwa tunaenda machungoni na mifugo kadhaa.lakini kuna maeneo karib na mito yalikuwa yanazungushiwa fence ya miiba, na katikati yake kulikuwa na maji yasiyokauka.

Tulikuwa tunaambiwa tukikuta sehemu ya hivyo ni marufuku hata kusogea kwenda kudadisi kuna nini ndani ya yale maji, ni marufuku kupitisha mifugo karibu eneo hilo na kama itapita kwa kukuzidi achana nayo yaan jamaa litakuwa limeivuta linataka damu, so ukilazimisha kuitoa kibao kitakugeukia.
 
pole kwa wafiwa!
Lakini kifo hakikosi sababu hata uwe wapi mda wako ukifika utakwenda tu kwa chanzo chochote
 
Chunusi ni aina ya Jini ambalo huwa mara nyingi anaishi kwenye majini kwa maana we can say ni spirits amazo zinaishi majini

hawa spirits wamegawanyika kwa maana ya good spirits na evil spirits

evil spirits ni spirits ambazo zinaleta madhara kama ukame, njaa, mafuriko na mauaji

chunusi ni evil spirits ambao kwa hapa kwetu wanaishi kwa kunyonya damu za viumbe wengine inaweza kuwa mnyama au binadamu

sie Tanzania ubishi wetu na "kuelimika" tunajifanya HATUAMINI kuwa kuna kitu kama chunusi lakini chunusi wapo kila sehemu Duniani na kila eneo kuna jinsi wanavyomuita
MFANO:




tujika kwa Ainu Mythology kwa wajapani huwa wanamwita Amemasu huyu amemasu anaishi katika ziwa Mashu huko hokkaido

687474703a2f2f7765622d696d616765732e6368616368612e636f6d2f696d616765732f47616c6c6572792f373034312f73636172792d63727970746964732d796f752d646f6e2d742d77616e742d746f2d72756e2d696e746f313635313439313631352d6170722d32332d323031342d312d363030783430302e6a7067


Australia kuna Chunusi wao wanamuita Eingana au mother of all na umbo lake huyu ni kwamba hana PAPUCHI

Eingana%20I.jpg


Wenzetu wachina wana mtu anaitwa GONG GONG ambaye huyu alikuwapo tokea
before 221 BCE)
nc3bcwa_1300pix.jpg


wa eGypt na wao wanaye anaitwa Knum


220px-Khnum.svg.png



huyu nitakuja kumwelezea vizuri siku nyingie kwani wamemjengea hadi Temple huko Elephantine na kizazi chake huyu amewazaa kina Seth, Neith, Isis mpaka kizazi cha mwisho kina Kebechet



tukija wagiriki ndio balaa maana wana kina Ladon, Kina Pan etc hawa wote ni chunusi wa nchi hizo


Hawai yupo wanamwita Kalanoa au Tangaroa
squid.jpg


ndugu zangu wahindi pale Ganges River kuna GANGA yupo pale ametulia

goddess-ganga-g.jpg



Zimbabwe hapo jirani kuna Nyami Nyami... yaani huyu undava undava tu kwake

nyaminyami-christine-rinke.jpg


Wanaigeria wanamjua sana OSHUN ambaye ni chunusi maarufu sana

7403cb_15a53fec8550881b2b1844ad64481bf2.jpg
Asee huyu Oshun mbona mtamu hivi!
 
Habari mbaya hii...Pamoja na mambo mengi ya ajabu yaliopo kwenye maji ila maji yenyewe tu mimi nayaheshimu sana na si kwa ajili nimezaliwa kaskazini pasipo na bahari hapana ila hata yale ya mtoni mi sitakagi urafiki nayo kabisa, One mistake two goals.
Maji ni uhai ila usicheze nayo.yatakudhiri km yule jamaa etu mwenye dem w kizungu@manuu
 
Wenzie alioenda nao kunamtu kafuga ilo dude baharini so wachunguzwe vizuri
 
C.T.U utanifanya niache kula pweza sasa, huyo wa Hawaii na Japan mbona kama pweza dizaini? Huyo wa Australia mbona kama Superman japo unasema hana nini....? Wanaijeria anayo?

mshana jr pitia huu upande pulizi
 
Haya ni mambo yakusadikika hayana ukweli kila unaemuuliza anasema anasikia tu aje hapa aliona kwa macho yake sio kuleta hadith za kijinga hapa
 
Donge na beach inaitwa raskazon
unanikumbusha ilo tukio la huyo kijana nilishiriki mazish yake .kwa kweli ukipata simulizi za hapo pahala alipokwenda kuogelea znatisha.ila ni kweli watu wanapoteaga hpo na kufa kwa interval ya vipind flan flan.na miili yao hupatkana kuanzia saa sita mchana au baada ya adhana!!ngoja watakuja wajuzi kutujuza zaidi maana maswali ni mengi kuliko majibu
 
Kama huyo wa nigeria ukikutana nae huko ufukwen asee unapiga mzigo kabisa mpaka yale mambo yetu.......wazee wa voda
 
Dah hii story mi nilklikuepo huyo alikuwa anaruka kwenye bot zilizopaki yatch club waliingilia tanga bathing club jina maarufu beach ya waswahili mimi nilikuepo raskazone swiming club ni karibu sana na huyo alipatikana jumatatu saa saba mchana
sawa kbisa walikuta kichwa kinaelea tu pemben ya boti ila mwili upo ndani ya maji.!!kuna babu wa kihindi pale alitoa anglizo waje asubuh kuanzia saa5-7 .kma ni chunusi wataupata mwili nda huo na kweli baada ya adhana wakauona mwili.mambo yanatisha
 
Sijui kama kuna chunusi latika hii hadithi. Lakini mahala popote ambapo watu wanakufakufa,wanaweza kuwepo ghosts,etheric beings ambao ni mvuke umetoka katika wale watu waliokufa.
 
Back
Top Bottom