Chuo cha Mipango Dodoma

Chuo cha Mipango Dodoma

Ni chuo kizuri sana ila jipange kwani mziki wa pale si mchezo, kuna prof anaitwa Ziliona nomaa, babu ndile balaha, kudisco jambo la kawaida .Mke wa waziri mmoja alidisko palepale, jipange ka. Mimi nimesoma pale masters ya economics, chuo kizuri sana.S

Duh! noma sana hadi mke wa waziri alidisco, bas pale pazuri kwan hakuna marks za kuangaliana usoni.
 
karibuni mipango chuo kizuri hakuna kuuza sura pale, development economics iko poa jipange tu mkuu
 
hahahahahhahah dah inaonekana hamna masihara

hakuna uzembe pale mi nachukua hiyo development economics iko vizuri tu na ni mpya pale hata contena moja bado halijamwagwa mtaani, chuo kizuri ila ujipange tu field ya first year ni vijijini...
 
hakuna uzembe pale mi nachukua hiyo development economics iko vizuri tu na ni mpya pale hata contena moja bado halijamwagwa mtaani, chuo kizuri ila ujipange tu field ya first year ni vijijini...

mkuu posts zimetoka kozi ya development economics tupo 15,nyie mpo wangapi?
 
anayejua process za accomodation chuo hapo atujuze cc eshy m.s
 
anayejua process za accomodation chuo hapo atujuze cc eshy m.s

kuna hostel za chuo anayewahi ndo anapata mwaka jana ilikuwa 350000, mwaka huu sijui na ni chache wengi wamepanga room nje ya chuo so kama unahitaji hostel uwahi kufika chuoni
 
Back
Top Bottom