samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 192
- 30
kwa wanaotaka kujua libraly ya sauti inaghorofa nne ni kubwa kuliko unavyofikilia km upungufu ni mdogo sana sio kama unavyodanganya wanajamii
kaka ukubwa wa library usikutishe, hata udom library ni kubwa, cha msingi ni je, kuna relevant books kwa hizo kozi zenu? Kusiwe na vitabu vya chekeche msaada wa usaid na eu alafu ukasema kuna vitabu vingi. Ukubwa wa pua.............................................................................