Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) Acheni Arrogance; Part-Time Teaching Mnafanya Interview? Huko ni kudharau na kudhalilisha Watanzania

Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) Acheni Arrogance; Part-Time Teaching Mnafanya Interview? Huko ni kudharau na kudhalilisha Watanzania

Kama chuo wako makini lazima watu wajiridhishe pasina shaka juu ya wasifu wako kitaaluma (Resume/CV).

Ndio kusema hata ingekua ni taasisi YANGU siwezi kusomba watu tu kisa wanafundisha sehemu fulani, hizi ni mechanism za quality assurance you must adhere/conform.
 
Baada ya huu uzi ni kama namuona yule afisa habari wao alivyobadirika rangi (ni kisirani sana) ili kuja kukanusha!.
 
Ahahahaha jamaaa wewe hatari San Kama nawaona HV yaani ila moremi amefariki aisee
Yes Moremi alifariki mwaka 2018 kwa saratani ya ini. Sad indeed. Liliundwa group la Whatsapp la kumchangia na kila mmoja alitoa kiasi chake lakini Mungu akampenda zaidi.
 
Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.

Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?

Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.

Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.

Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
Interview lazima ili mwisho wa siku wapate waalimu ambao watawafaa, nakushangaa if wewe ni lecturer halafu unashangaa kufanyishwa interview unapoomba kazi.Kwa sasa waliosoma ni wengi na wenye sifa ya ulecturer ni wengi zaman ilikuwa simple tu maana kwa mfano lecturer mzuri wa financial accouting alikuwa labda Prof Assad, wa Auditing labda Prof Temu, sijui wa Intermidiate accouting Malagila, sijui wa princioles of marketing Khalid, so vichwa kama hivi na vingine vichache vya miaka hivyo vikiomba wala hamna interview unachagua tu mmoja anakuja fundisha. Sasa now kuna waTz malaki wana MBAs CPAs ACCAs CIB n.k sasa wanapogombea vinafasi vichache unaarive vipi kuwapata qualified, competent Lecturer au Tutorial Assistant? kama hakuna mchujo sasa we mwalimu unaogopa interview je mwanafunzi wako atakuwaje? au unafikiri atapewa kazi kiwepesi🙉😆 kapambane if kazi unaitaka na usipoenda interview wengine kibao wataenda
 
Hizo part time jobs Zina Kona Kona kibao, Kuna sehemu nilipigiwa chapuo nikakuta wananipa sharti niongeze shahada ya pili kipindi nafundisha.Sharti lao likawa gumu nikapishana nao
 
Chuo cha Uhasibu Arusha(IAA) ni chuo kinachomilikiwa na Serikali yetu kupitia wizara ya fedha. Kama ilivyo vyuo vingine vya elimu ya juu na vyuo vikuu wanakuwa na upungufu wa teaching staff(walimu). Tatizo la hawa jamaa ni arrogance yaani kujisikia, majivuni, kujiona wa kipekee wakati ukweli ni kwamba ni chuo cha kawaida kabisa hata siyo Univeristy.

Siku za hivi karibuni walitangaza nafasi kadhaa za part-time, walitaka utume CV na nakala(copies) za vyeti. Sasa cha ajabu eti part-time teaching unataka umfanyie interview mtu ambaye CV yake inaonesha tayari anafundisha aidha ktk chuo kingine cha elimu ya juu au chuo kikuu kingine? Are you serious guys? Kwa kazi ya miezi 4 tu? Mtu atoke Dar Es Salaam, Dodoma,Mwanza au Mbeya kuhudhuria interview siku 2 kwa kazi ya miezi 4?

Kwa hiyo nyie hamuamini vyuo vingine vya elimu ya juu vilivyowaajiri hao wahadhiri? Acheni kiburi na dharau kwa kudhani kuwa watanzania ni maskini kiasi hicho. Msiwanyanyase watanzania kwa kutumia kodi zao wenyewe, hizo pesa ni kodi za watanzania isiwaleweshe.

Nitamshangaa sana mtanzania atakayekubali udhalilishaji huu kwa kuhudhuria hayo ma-interview yao. Watakulipa nini kuzidi utu wako, viwango vyao vinajulikana kwa saa unalipwa sh. 18,000/ jumlisha 10,000/ ya nauli jumla sh. 28,000/. Kwa wiki utafundisha masaa 4 utavuna sh. 112,000/. Semester haizidi wiki 16 ukimaliza vizuri utaambulia sh.1,792,000/. Ukitoa gharama utakazokuwa umetumia plus hii ya interview huna cha maana utakachobakiwa nacho.

Point yangu hasa siyo malipo ni dharau na udhalilishaji eti mtu tayari umeshafundisha miaka pengine km 15 na zaidi ktk vyuo vingine uje ufanyiwe interview na vitoto vidogo kwa kazi ya muda mfupi. Ni vyuo vingi tu vinachukua part-timers hawafanyi upuuzi huu, unawapatia CV yako na pengine unaonesha vyeti au unawaachia nakala za vyeti inatosha. IAA badilikeni enendeni km wenzenu.
Wewe unataka utoke huko ulikotoka na kufikia darasani kufundisha moja kwa moja?

Mbona hutuelezi kama chuo kitafanya coverage ya cost za usafiri kwenda kwenye interview au la!

Kifanyiwa interview ni lengo la kuhakikisha chuo kinapata lecturer wazuri na wenye irelevant documents.

Kama unavyo nenda kafanye interview na huku JF sio mahali pa kuwajibia hao ATS....
 
Back
Top Bottom