Chuo gani bora kwa uandishi wa Habari ukanda wa Africa mashariki

Chuo gani bora kwa uandishi wa Habari ukanda wa Africa mashariki

Manzile

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
701
Reaction score
1,900
Habari zenu wakuu,

Niko na mdogo wangu anamaliza diploma yake mwakani ya uandishi wa habari SAUT.

Lengo langu akimaliza mwakani nimpeleke akasome degree yake nje ya Tanzania ukanda huu wa mashariki ya Africa

Hivyo ningependa kufahamu kwa anayejua, chuo gani ni bora kwa hiyo fani kwa nchi za ukanda wa mashariki
 
SAUT ipo poa kama ulivyo iweke hapo
Mbakize tu
 
Kakuambia nje ya nchi. Muwe mnasoma Uzi Kwanza kwa Utuo ( Vyema ) na Kuuelewa kisha ndipo mjibu ili msije kuonekana mna Akili za Kipa Katoka ( Juha ) kabisa.
Tusibishane nitakulapua makofi lazima ashauliwe kubaki SAUT
 
Habari zenu wakuu,

Niko na mdogo wangu anamaliza diploma yake mwakani ya uandishi wa habari SAUT.

Lengo langu akimaliza mwakani nimpeleke akasome degree yake nje ya Tanzania ukanda huu wa mashariki ya Africa

Hivyo ningependa kufahamu kwa anayejua, chuo gani ni bora kwa hiyo fani kwa nchi za ukanda wa mashariki
Chagua kati ya Daystar University nchini Kenya au Makerere University nchini Uganda ndiyo viko Bora kwa Kozi hiyo kwa sasa.

Ukimpeleka hapo Daystar University tafadhali mwambie anisalimie mno Dk. Rahab Nyaga, Dk. Sister Lando na Dk. Ndati Ndeti.

Ungeuliza kwa hapa Tanzania wala nisingepoteza muda na ningekuambia kuwa mpeleke SAUT na angepikwa ipasavyo na Kuiva.
 
Chagua kati ya Daystar University nchini Kenya au Makerere University nchini Uganda ndiyo viko Bora kwa Kozi hiyo kwa sasa.

Ukimpeleka hapo Daystar University tafadhali mwambie anisalimie mno Dk. Rahab Nyaga, Dk. Sister Lando na Dk. Ndati Ndeti.

Ungeuliza kwa hapa Tanzania wala nisingepoteza muda na ningekuambia kuwa mpeleke SAUT na angepikwa ipasavyo na Kuiva.
Ahsante sana mkuu
 
Habari zenu wakuu,

Niko na mdogo wangu anamaliza diploma yake mwakani ya uandishi wa habari SAUT.

Lengo langu akimaliza mwakani nimpeleke akasome degree yake nje ya Tanzania ukanda huu wa mashariki ya Africa

Hivyo ningependa kufahamu kwa anayejua, chuo gani ni bora kwa hiyo fani kwa nchi za ukanda wa mashariki
Naomba umpeleke arhus school of journalism kipo denmark,vinginevyo mpeleke nairobi university ni chuo bora kabisa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom