good qn mbebez!..
Kombi za "kimbebez" ni kombi ambazo hata mtoto wa "vidudu" anaelewa kama akipata mwalimu mzuri. Hazihitaji kuumiza akili kama ambavyo "mbebez" wasivyopenda shida!..baadhi ya "kombi za kimbebez" ni hgl,hkl,hgk,hge,egm,eca. Kombi za "milume" kama mimi dr.holygrail ni kombi ambazo hata upate div 4 hukosi kazi wala hutembei na bahasha maofisini kama "shoga". Mfano pcb,pcm,pgm,cbg,cba na kwa mbaaaali egm.
kumbe kasoma kombi za "kimbebez" mwambie akauze mama ntilie!...mwanaume mzma unasoma kombi za kike!...heshima iko wapi sasa!
good qn mbebez!..
Kombi za "kimbebez" ni kombi ambazo hata mtoto wa "vidudu" anaelewa kama akipata mwalimu mzuri. Hazihitaji kuumiza akili kama ambavyo "mbebez" wasivyopenda shida!..baadhi ya "kombi za kimbebez" ni hgl,hkl,hgk,hge,egm,eca. Kombi za "milume" kama mimi dr.holygrail ni kombi ambazo hata upate div 4 hukosi kazi wala hutembei na bahasha maofisini kama "shoga". Mfano pcb,pcm,pgm,cbg,cba na kwa mbaaaali egm.
Hao hao unaodai wamesoma kombi za kimbebez ndo hao hao ambao wanakuongoza maofisini kwenu kama ma Human Resources na Adminstrators Managers/Officers..
Jinga Kabisa Wewe.
Wana jf ndugu yangu kamaliza f6 mwaka jana HGK kapata 2 ya 12 ila anataka kuapply chuo kitivo cha PROJECT PLANNING MANAGEMENT AND COMMUNITY DEVELOPMENT. Je chuo gan wana offer hyo facult, na anastahili?
kumbe kasoma kombi za "kimbebez" mwambie akauze mama ntilie!...mwanaume mzma unasoma kombi za kike!...heshima iko wapi sasa!
Mimi nimechelewa kuiona hii thread, lakini kikubwa nina mashaka na huyo anayetaka kusoma hiyo degree programme, anauliza chuo gani kina "offer facult" ngoja niishie hapo. Hakuna chuo hapa duniani kinachoweza kutoa facult
Unataka Faculty au Kozi?
fuatilis ardhi nmesikia kitu kama hicho ni laki sita au saba fanya hivyo aisee
good qn mbebez!..
Kombi za "kimbebez" ni kombi ambazo hata mtoto wa "vidudu" anaelewa kama akipata mwalimu mzuri. Hazihitaji kuumiza akili kama ambavyo "mbebez" wasivyopenda shida!..baadhi ya "kombi za kimbebez" ni hgl,hkl,hgk,hge,egm,eca. Kombi za "milume" kama mimi dr.holygrail ni kombi ambazo hata upate div 4 hukosi kazi wala hutembei na bahasha maofisini kama "shoga". Mfano pcb,pcm,pgm,cbg,cba na kwa mbaaaali egm.