Kaliro X
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 749
- 440
good qn mbebez!..
Kombi za "kimbebez" ni kombi ambazo hata mtoto wa "vidudu" anaelewa kama akipata mwalimu mzuri. Hazihitaji kuumiza akili kama ambavyo "mbebez" wasivyopenda shida!..baadhi ya "kombi za kimbebez" ni hgl,hkl,hgk,hge,egm,eca. Kombi za "milume" kama mimi dr.holygrail ni kombi ambazo hata upate div 4 hukosi kazi wala hutembei na bahasha maofisini kama "shoga". Mfano pcb,pcm,pgm,cbg,cba na kwa mbaaaali egm.
we umevulugwa, nadhan umepata div5 matokeo yaform4 yalyopga HolyGIRL
Last edited by a moderator: