Chuo Kikuu cha Biashara (CBE) chamtunuku David Kafulila ngao ya heshima kwa kusimamia ukuzwaji wa sera za Uchumi Jumuishi nchini

Mheshimiwa David Kafulila aingie Bungeni hapo Mwakani panapo Majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
 
Prof namjua, ni mtu makini, kwao Morogoro, na baba yake alikuwa prof, ila ngao hutolewa kwenye mechi za ngao ya hisani, kwa nini huyu muha sijui mrundi anahangaika kujipromote mitandaoni?
 
Bweni la wanafunzi 12?
Hilo ndio limemfanya atunikiwe??
Kuna huyo tajiri hapo akigawa "lim paper"

Kuna nyakati naona kabisa mfumo wa elimu wa kikoloni ulikuwa ni bora kuliko huu unaotumika sasa.

Maana hata vijana wengi kuunda sentensi moja ya kiingereza iliyokamilika hawawezi.
 
Kafulila asisitize Serikali iuze Shirika la ndege (ATCL), asisitize wawekezaji binafsi katika umeme kuondoa monopoly ya TANESCO
ChoiceVariable
Kwa nini Serikali iuze ATCL? Hao wawekezaji Binafsi si wanzishe shirika lao, kama ilivyo Precision? Ethiopian Mpaka leo linamilikiwa na Serikali, na linafanya vizuri. KQ Serikali imeongeza %age ya umiliki....Usafiri wa anga ni strategic area kwa serikali kuumiliki, sio kuachia watu binafsi kama walivyoachiwa ATC kwa wale SAA wakati ule - si uliona kilichtokea?
 
Uko sahihi kabisa, ATCL iendeshwe kwa ubia
Hakuna haja ....wawekwe tu right people to the right positions....Emirates mpaka leo hawana mbia...na linafanya vizuri..Tusikariri jamani...Wapo watu wenye uwezo, hata ikibidi tuwaajiri kutoka nje - na kupewa malengo, kama sisi hatuna uwezo
 
Safi sana CBE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…