Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆 Kudadeq nimecheka mpaka nimepaliwa JK unasikia huku lakini the flat the surface the flat the sky, the polygon the shape the polygon the figureUsisahau Magufuli alipopumzishwa, Jakaya aliteuliwa kuwa mkuu wa chuo. The flat the surface the flat the sky, the polygon the shape the polygon the figure.
Labda ztamalizia Samia ili kipewe jina lake kama complex ya DodomaHayati Rais Magufuli aliwajengea UDSM hosteli za kulala wanachuo nzuri na za kisasa kabisa, cha kushangaza nimerudi baada ya miaka miwili hostel bado hazijafanyiwa finishing kwenye flat zake za juu. Juu ya hizo hosteli Kuna mirunda na magogo Kwa kweli inashangaza.
Wewe bwana wewe!!Usisahau Magufuli alipopumzishwa, Jakaya aliteuliwa kuwa mkuu wa chuo. The flat the surface the flat the sky, the polygon the shape the polygon the figure.
Ndiyo sababu wameshindwa kuyamalizia?Mambo ya hostel kujengwa na vyuo yamepitwa na wakati. Vyuo vijenge lecture rooms/thetres, libraries, laboratories etc kwa kuwa ndiyo vina uhusiano kati ya uwekezaji kwenye elimu na matokeo. Hostels zijengwe na sekta binafsi tu.
Sasa ukiyaangalia yale mabweni alyiyoamuru yajengwe na TBA quality yake ya hovyo na yamechakaa kuliko yale mabweni yalijengwa wakati wa Nyerere
Nani amewazuia kuzifuata huko ChinaSijui kwanini nimekumbuka ile 1.5 trillion na ela zilizofichwa china
We umeona mwanafunzi wa UDSM akitafuta hostel mitaani?Kwa hyo hizo hostel zilimaliza tatitzo lililokuwepo?
Hawezi kukujibu huyoWe umeona mwanafunzi wa UDSM akitafuta hostel mitaani?
KabisaAcha urongo, Magufuli ndiye aliyemteua Kikwete
Uko vizuriKabisa
Kwa hiyo watu hawakai hapo?Zile zenye "Joint Expansion" na aliyepiga picha akasukwa sukwa??
Yaani Majengo ya pale Magomeni yana nyufa za kutosha na zile Hosteli zake pia ni hivyo hivyo!!
Hee kumbe hamkuzimaliza pamoja na majigambo yote Yale? 🤣🤣Hayati Rais Magufuli aliwajengea UDSM hosteli za kulala wanachuo nzuri na za kisasa kabisa, cha kushangaza nimerudi baada ya miaka miwili hostel bado hazijafanyiwa finishing kwenye flat zake za juu. Juu ya hizo hosteli Kuna mirunda na magogo Kwa kweli inashangaza.
Ikumbukwe kabla ya hostel za Magufuli kujengwa wanafunzi wa chuo kikuu Cha Dar es Salaam walikuwa wanateseka sana na wengine kubakwa kila wakienda kupanga mitaani lakini Sasa shida hiyo haipo lakini hazimaliziwi vizuri mpaka leo.
Shida ni nini wakati uongozi wa UDSM wanakusanya hela kutoka Kwa kila mwanafunzi?
InasikitishaHee kumbe hamkuzimaliza pamoja na majigambo yote Yale? [emoji1787][emoji1787]
Uzi ufungweAwamu ya kwanza ilisha-kwisha, ila waliacha provision ya kuextend, ndio sasa wanaextend ghorofa mbili juu nadhani
Wewe kweli hamnazo.Mwambie na Mbowe ajenge ofisi ya Chadema si unalipa kodi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida ni Magufuli kutangulia mbele ya haki. Kuna watu walizaliwa na vipawa vya kuweza kufanya mambo, JPM alikuwa na sifa mbili ambazo ni nadra sana kuzikuta kwa mtu mmoja.
1. He was smart
2. He was hardworking
Hiyo ni combination adhimu mno.
Na ndiye aliyepoteza 1.5 tr. Usisahau hilo pia kuwa alilisimamia yeyekama kodi zenu ndizo zilizojenga mbona hazimaliziwi?magufuli alitoa wazo akalisimamia ndipo kodi ikatumika
Ukweli ni upi mkuu? Au hilo jambo si kweli kutokana na maoni yako. Slowslow alijaribu kulitolea ufafanuzi lakini akashindwaHizo stori tu za wahuni.