Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeshindwa kuzimalizia Hosteli za Magufuli?

Usisahau Magufuli alipopumzishwa, Jakaya aliteuliwa kuwa mkuu wa chuo. The flat the surface the flat the sky, the polygon the shape the polygon the figure.
😆😆😆 Kudadeq nimecheka mpaka nimepaliwa JK unasikia huku lakini the flat the surface the flat the sky, the polygon the shape the polygon the figure
 
Labda ztamalizia Samia ili kipewe jina lake kama complex ya Dodoma
 
Ndiyo sababu wameshindwa kuyamalizia?
 
Hee kumbe hamkuzimaliza pamoja na majigambo yote Yale? 🤣🤣
 
Shida ni Magufuli kutangulia mbele ya haki. Kuna watu walizaliwa na vipawa vya kuweza kufanya mambo, JPM alikuwa na sifa mbili ambazo ni nadra sana kuzikuta kwa mtu mmoja.

1. He was smart
2. He was hardworking

Hiyo ni combination adhimu mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndiye alijenga zile hostel zenye expansion joints au siyo yeye?
Eti kwako ndiyo mtu smart sasa sijui wewe utakuwa mtu wa aina gani kama yeye kwako ndiye mtu smart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…