Chuo kikuu Cha Dar es Salaam kimpe Rais Samia Udaktari wa Heshima katika uongozi na mahusiano ya kimataifa

Nitaanzisha kampeni rasmi mama kupewa hicho unacholiita PhD kama atafanikisha upatikanaji wa katiba mpya tu na sio vinginevyo!!

Wenye akili wanaandika hivi;-

"Mzee Warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
 

Tume ya uchaguzi na uchaguzi wa kweli uko Kenya, hapa hakuna tume wala uchaguzi, bali kuna maenyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Tume ya uchaguzi na uchaguzi wa kweli uko Kenya, hapa hakuna tume wala uchaguzi, bali kuna maenyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Watanzania Wana imani na CCM ndio maana unaona wakiiamini kwa kuipa kura za kishindo huku nyie mkilalama kuibiwa bila kujuwa kuwa Ni ukosefu wa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania ndizo zilizowafanya muwe mnatoka kapa na kupuuzwa kila uchaguzi
 
N
Nyie si mlikimbiaga katika ukumbi wa bunge maalumu la katiba? Tulieni hivyo hivyo muache mama aongoze na kuwatumikia watanzania kwa amani na utulivu
 
N

Nyie si mlikimbiaga katika ukumbi wa bunge maalumu la katiba? Tulieni hivyo hivyo muache mama aongoze na kuwatumikia watanzania kwa amani na utulivu
Ilipangwa iwe vile!

Usifikiri yalitokea KWA Bahati mbaya!!

Mngewaelewa Chadema msingetumia NGUVU Sana kupambana nao!lengo la CHADEMA halikuwa kuchukua dola!

Wapo KWA ajili ya KAZI maalumu na Sasa imeisha na chama kitakufa rasmi Baada ya katiba kupatikana na ccm mpya itazaliwa na kuwa chama kingine chenye mwelekeo Mpya kabisa KWA jina jingine!!

Hakuna ccm itakayosimama Baada ya katiba Mpya kupatikana!!

Muda wa kitabu kipya umefika rasmi na siasa mpya zitazaliwa Nadhani tukutane huko Baada ya Zama za giza tulizopitia!!

"Shiriki kibwagizo hiki:-

"Mzee Warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
 
Hakuna chama Wala mtu awezaye kuitikisa CCM ndani ya nchi hii, Ni CCM Ndio tumaini la kipekeee kwa watanzania katika kuwaletea maendeleo, hao wengine Ni wasaka tonge tu ndio maana unaona kwa Sasa upinzani umekosa ushawishi kwa watanzania
 
Hakuna chama Wala mtu awezaye kuitikisa CCM ndani ya nchi hii, Ni CCM Ndio tumaini la kipekeee kwa watanzania katika kuwaletea maendeleo, hao wengine Ni wasaka tonge tu ndio maana unaona kwa Sasa upinzani umekosa ushawishi kwa watanzania
Kilikuwa Hivyo zamani KABLA ya boys to men!!walipoingia vijana wale na kuharibu ccm na Kuwa ilivyosasa ndipo wenye NCHI walipomwambia jk aanzishe mchakato wa katiba mpya awamu ile wakiona HATARI ya chama kuja Kuwa cha ukoo wa kifisadi kama ilivyo Sasa!! ndio maana mchakato imeanza Ili siasa mpya zizaliwe Rasmi Baada ya katiba Mpya kupatikana!!

Muda wa CCM na Chadema kufa umefika na vyama vipya vizaliwe Ili kuleta mwelekeo mpya wa TANZANIA Mpya Nadhani tukutane huko!!

Uchaguzi wa 2020 Ndio wa Mwisho kwa katiba hii iliyopo!!

Karibu Sana kwenye Chama changu kipya cha ssp (self reliance and socialist party) au chama cha ujamaa na kujitegemea (cuk) Baada ya katiba Mpya kupatikana!

TUSUBIRI!!
 

Wangekuwa na Iman na CCM mngetegemea vyombo vya dola, na tume isiyo huru ya uchaguzi kutangaza washindi kwa shuruti? Au unadhani huwa hatuoni ule ushenzi uitwao uchaguzi? Na kwa sasa wanaendelea kulipuuza box la kura, na matokeo yake wapiga kura wanazidi kuwa wachache kila uchwao.
 
Hujaweka namba ya simu
 
Sasa nyie kwa Sera zipi hasa ambazo huwa mnategeemea kupewa kura Hadi mseme mnaibiwa kura utazani hamuwekaagi mawakala vituo vya kupigia kura
 
CCM Ni Kama maji tu usipoyanywa utayaoga tu, Hakuna mbadala wa CCm hapa nchini, Haupo na Hautakuwepo
 
CCM Ni Kama maji tu usipoyanywa utayaoga tu, Hakuna mbadala wa CCm hapa nchini, Haupo na Hautakuwepo
Najua ndivyo makomredo wengi tulivyokariri mambo ni ngumu kubadilika!!

Tunafikiri 2025 kuna uchaguzi halafu mama atasimama atashinda Hadi 2030!!!

Kumbe .................!!!!!

Katiba mpya Ndio KWANZA UCHAGUZI utafuata!!Sasa kama katiba itapatikana 2026 UCHAGUZI utafanyikaje bila katiba mpya!!?

TUSUBIRI
 
Sasa nyie kwa Sera zipi hasa ambazo huwa mnategeemea kupewa kura Hadi mseme mnaibiwa kura utazani hamuwekaagi mawakala vituo vya kupigia kura

Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio mlilishwa huo utapeli uitwao sera. Kama mngekuwa na sera hii nchi ingekuwa masikini hivi? Mawakala hao ambao wakurugenzi wanagoma kuwaapisha? Narudia tena, uchaguzi na sera ziko hapo Kenya, hapa kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Basi uchaguzi ujao njoo na hizo Sera kutoka huko uliko zificha uone Kama watanzania watakusikiliza, kwa Sasa watanzania wapo na mama ndani ya sakafu za mioyo yao, Nazani umeona mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani alivyoteka uapisho wa William Ruto huko Kenya kwa namna mh Rais wetu anavyokubalika na kupendwa mpaka nje ya mipaka ya Tanzania yetu
 

Hakuna mtu anayejitambua atakuwa na muda wa kupiga kura kwenye hizi chaguzi za kishenzi.
 
Upuuzi mtupu.
 
CCM waongoze miaka mingine 100, ongezeni tozo na nunueni magari ata ya 1 billion kwa moja, mmefanikiwa kuondoa umasikini na watanzania wanawapenda sana...
 
Uchawa utawaua................hana sifa hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…