Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Utakuwa huishi Tanzania wewe maana ungekuwa unaishi hapa ungetambua hayo niliyoyaeleza hapa,Uchawa utawaua................hana sifa hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa huishi Tanzania wewe maana ungekuwa unaishi hapa ungetambua hayo niliyoyaeleza hapa,Uchawa utawaua................hana sifa hizo
Tunza akiba ukiandikacho usije ukapata aibu bure......................Utakuwa huishi Tanzania wewe maana ungekuwa unaishi hapa ungetambua hayo niliyoyaeleza hapa,
Chuo kimetambua mchango wa Rais wetu na kumpatia heshima kubwaTunza akiba ukiandikacho usije ukapata aibu bure......................
Tayari kashapewa ,Naomba urudi Tena hapa kufuta maneno yako maana maoni yangu na hisia zangu zimetimia udsm kutambua mchango wa mh RaisUchawa utawaua................hana sifa hizo
Tayari kashapewa Leo hii. Mungu Ni mwemaNitaanzisha kampeni rasmi mama kupewa hicho unacholiita PhD kama atafanikisha upatikanaji wa katiba mpya tu na sio vinginevyo!!
Wenye akili wanaandika hivi;-
"Mzee Warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"
Njoo Tena uandikeUpuuzi mtupu.
Napenda kukutaarifu kuwa Chuo kikuu Cha Dar es salaam kimetambua mchango wa mh Rais na kumtunuku Udaktari wa heshimaWw utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio mlilishwa huo utapeli uitwao sera. Kama mngekuwa na sera hii nchi ingekuwa masikini hivi? Mawakala hao ambao wakurugenzi wanagoma kuwaapisha? Narudia tena, uchaguzi na sera ziko hapo Kenya, hapa kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Katiba iko wapi!!?Tayari kashapewa Leo hii. Mungu Ni mwema
Udsm imetambua mchango wa mh Rais kwa Taifa letu na kumpa heshima hii ambayo nilipendekeza. Wewe Ni Nani upinge chuo kikubwa Kama Udsm? Nenda kalime kyela huko nitakuja unipe Mchele kidogo nami nitakupa karanga za kwetuWewe aliyekuroga ana roho mbaya sana ! yaani kaondoka na ubongo wote kakuachia frem tu .
Ipiganie wewe ili ipatikaneKatiba iko wapi!!?
Anapewaje katiba hajaipigania!?
Kashapewa Tayari,Aisee...
Utakuwa ulifata huu ushauri na kujichukulia..
3.Bachela ya Chawa with Uking'asti
8.Bachelor of Postology
Fani zenye ajira kwa sasa, vijana someeni fani hizi
FANI ZENYE AJIRA KWA SASA NA MKWANJE MREFU Na, Robert Heriel Leo sina maneno mengi, watu wengi wamekuwa wakilalamika ajira hakuna, sijui maisha magumu, wengine imefikia hatua ya kujidhuru kwa kutumia madawa ya kulevya, pombe, kujiuza na kudanga kisa tuu hawana mbele wa nyuma, hawana lila wala...www.jamiiforums.com
Njoo uandike Tena maana Tayari kapewaWewe ni kilaza kwelikweli.
Huenda waliomtuma kuandika wana namba yake tayariUmesahau kuweka namba yako ya simu.
And so maisha yako sasa yatakuwa malaini kama maini!.Hatimaye maneno na maombi yangu yametimia japo naamini Ni kwa utashi wa chuo na uongozi wa chuo na siyo kwamba Ni kwa ushauri wangu maana naamini Rais Samia alistahili kupewa heshima hii
Napenda kukutaarifu kuwa Chuo kikuu Cha Dar es salaam kimetambua mchango wa mh Rais na kumtunuku Udaktari wa heshima
Hongera zake Dr Samia 👇Ndugu zangu hayo Ni mapendekezo yangu binafsi baada ya kuwa nimekaa kwa muda mrefu nikifuatilia utendaji kazi wa mh Rais Samia na kufikiria namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea na kukabidhiwa nchi yetu Katikati ya wingu zito la majonzi na simanzi kubwa ya kuondokewa na Rais wetu Hayati Daktari John Pombe Magufuli
Ndugu zangu ilikuwa Ni mshituko mkubwa Sana kwetu watanzania kuondokewa na Rais aliyepo madarakani, kwani hakuna aliyekuwa akiwaza Wala kufikiria Wala kuota Kama Jambo lile linaweza kutokea, maana kwetu watanzania lilikuwa Ni Jambo geni sana ambalo halijawahi kutokea,
Hapa shukurani zangu za kipekeee kabisa lazima liviendee vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vilivyohakikisha kuwa mipaka yetu na nchi yetu inaendelea kuwa salama kabisa, lakini pia Namshukuru mwenyezi Mungu ambaye siku zote amekuwa nasi watanzania kwa kutuvusha salama salmini katika kipindi kigumu, lakini pia nawashukuru viongozi wetu wastaafu na hata waliopoo madarakani waliohakikisha nchi inakuwa na utulivu na wanatuongoza watanzania kuvuka salama katika bonde lile la uvuli, Asante pia kwa watanzania kwa namna ambavyo tulibaki watulivu na kuungana Kama Taifa mpaka mwisho wa kuhitimisha safari yake Hayati Magufuli katika nyumba yake ya Milele kule CHATO
Ndugu zangu macho yetu watanzania ndani na nje ya mipaka yetu yakaelekezwa kwa Mama huyu shupavu, mwenye moyo wa huruma upendo na unyenyekevu ulio jaa hekima busara Subira na Aliyejaa hofu ya Mungu, mwenye upendo wa kweli kwa watu na mzalendo wa dhati kwa nchi yetu, msikivu na mwenye kumaanisha kile akitamkacho, mwenye kuchuja maneno na kuchunga ulimi wake
Mh Rais wetu mpendwa Taratibu akaanza kufufua na kuinua matumaini ya watanzania ambayo wakati huo Tulikuwa Tumetoka kwenye majonzi na mshituko, akaanza kuwa mfariji wetu, Akaanza kutufuta machozi, Akaanza kutushika mikono kutunyanyua tulipo kaa ili tuanze safari ya Kuendelea kazi ya kuijenga nchi yetu kwa kauli yake ya kazi iendelee, Akaanza kutuunganisha watanzania kukabili maadui wetu wa ujinga umasikini maradhi Rushwa na ufisadi
Kuna watu walikuwa wamekata Tamaa, Kuna watu walikuwa wanatamani hata kuona kila baya linaipata Tanzania, lakini mama huyu Hodari akazizima roho hizo chafu na kupanda mbegu za upendo na uzalendo katika mioyo watanzania, Ndio maana unaona Leo hii Taifa Ni moja likisonga kwa pamoja,
Hivyo ndugu zangu kwa kuyawaza hayo Nikaona kuwa Ili kuonyesha kutambua mchango wa Rais huyu Hodari haina budi kwa Chuo Kama UDSM kumpa Udaktari wa Heshima mh Rais wetu mpendwa katika uongozi na mahusiano ya kimataifa, sote Ni mashahidi namna mh Rais wetu alivyoliongoza vyema Taifa letu kutoka katika kipindi hicho na namna maendeleo mbalimbali yalivyopatikana, kwani Tumeona namna miradi mingi ilivyojengwa na hata kuendeleze Ile iliyokuwa imeanza kujengwa
Tumeona namna alivyojenga umoja wa kitaifa na mshikamano wa watanzania, Tumeona namna nchi yetu ilivyopata mafuriko ya watalii pamoja na wawekezaji baada ya kuimarisha diplomasia yetu, Tumeona namna alivyoimarisha demokrasia na mahusiano mema na vyama vya upinzani kwa kuwachukulia wapinzani Kama wadau wa maendeleo na kuamini kuwa tunaweza tukatofautiana lakini bado tukaijenga nchi yetu kwa pamoja na tukajivunia mafanikio yetu kwa pamoja
Ni vyema atunukiwe na kupewa heshima hiyo ili Kuendelea kumpa faraja ya kusonga mbele zaidi na kuliinua Taifa hili kiuchumi, Nimependekeza UDSM maana najuwa ndio chuo kikongwe hapa nchini ambacho huwezi ukakiweka kando katika maendeleo tuliyoyafikia Leo hii kupitia wasomi wake waliopita na kupikwa pale,
Niseme tu ukweli Mimi LUCAS Mwashambwa Kama kijana nimetokea kuvutiwa na kuridhishwa Sana na uongozi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani, Ni Imani yangu kuwa ombi hili litapokelewa na kutafakariwa vyema, Apewe tu maana Anastahili kupewa, Ametutoa pagumu Sana watanzania mpaka kufika hapa tulipo, maana amepokea nchi kipindi Cha mdororo wa uchumi Duniani
Kazi iendeleee, Mh Rais Samia Ndiye Joshua wetu atakayetufikisha Kanaan, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka na wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
Lini waliishi kwa raha kubwa?Huo u doctor unasaidia nini huku watu walioko chini yake wanaishi kwa dhiki kubwa?