Chuo kikuu Cha Dar es Salaam kimpe Rais Samia Udaktari wa Heshima katika uongozi na mahusiano ya kimataifa

Hatimaye maneno na maombi yangu yametimia japo naamini Ni kwa utashi wa chuo na uongozi wa chuo na siyo kwamba Ni kwa ushauri wangu maana naamini Rais Samia alistahili kupewa heshima hii
 
Tayari kashapewa Leo hii. Mungu Ni mwema
 
Napenda kukutaarifu kuwa Chuo kikuu Cha Dar es salaam kimetambua mchango wa mh Rais na kumtunuku Udaktari wa heshima
 
Wewe aliyekuroga ana roho mbaya sana ! yaani kaondoka na ubongo wote kakuachia frem tu .
Udsm imetambua mchango wa mh Rais kwa Taifa letu na kumpa heshima hii ambayo nilipendekeza. Wewe Ni Nani upinge chuo kikubwa Kama Udsm? Nenda kalime kyela huko nitakuja unipe Mchele kidogo nami nitakupa karanga za kwetu
 
Kashapewa Tayari,
 
Hatimaye maneno na maombi yangu yametimia japo naamini Ni kwa utashi wa chuo na uongozi wa chuo na siyo kwamba Ni kwa ushauri wangu maana naamini Rais Samia alistahili kupewa heshima hii
And so maisha yako sasa yatakuwa malaini kama maini!.
Hakuna kukatika katika umeme, maji, mfumuko wa bei nk nk
 
Napenda kukutaarifu kuwa Chuo kikuu Cha Dar es salaam kimetambua mchango wa mh Rais na kumtunuku Udaktari wa heshima

Yaani chuo kikuu cha Daresalam nayo ni mjadala wakimpa rais wa nchi heshima ya udaktari, hicho si cheo anaamua tu na kupewa hapo hapo? Angepewa na Havard University wangalau ingekuwa mjadala.
 
Hongera zake Dr Samia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-131150.png
    168.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221130-131127.png
    233.8 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…