Chuo Kikuu cha Dar es salaam kitafute mwekezaji awasaidie kuprinti vyeti vya wahitimu

Si wanasemaga vinakuwa printed nje ya nchi? Ila hapana asee... Ubora ni hafifu sana!
 
Chuo cha hovyo hicho. Kinazidiwa TEKU mara 1000 mbali ya kuwa ni chuo chenye CV kubwa, chuo gani kimetuzalishia mafisadi wakubwa ambao hawana mchango wowote kwa WATANZANIA, chuo ambacho hata leo kinazidi kushamirisha CCM Badala ya kushughulika na uhalisia wa maisha. Umaskini walionao Watanzania kwa karne hii umechochewa na chuo hicho.
 
Kuna tatizo kubwa la paperwork.na data entry katika vyuo vingi ikiwemo udsm, cbe, mambo ndio yaleyale ya kuchelewa kupata vyeti as if cheti ni kitu hakitengenezeki haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…