tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Wasahau kwa hawa wanyonyaji CCM
Bila shaka watumishi wa serikali mwakani neema itakuwa kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka watumishi wa serikali mwakani neema itakuwa kwao
Kuna mr president,madam vice president ,sir nk
Nilisoma mahali kuwa Mzungu haezi kuoanisha au kushikanisha nafasi yake kielimu na Mambo ya siasa.........Hivi mbona Marekani viongozi wao huwa hawatumii Dr au Prof au mheshimiwa. Wanaitwa kavu tu.
Ila kweli sijui ni kwa nn...???
Shuleni ulisoma somo la kiingereza na eti ukafaulu masomo yaliyoandikwa kwa kiingereza! Lakini haukijui kiingereza! Rafiki yako uliyesomanae kafaulu somo la kiingereza ila wewe niseme tu ukweli umefeli hivyo kuhalalisha kufeli kwako waliofaulu unawaita wapumbavu!Ni wapumbavu pekee waaminio kujua kiingereza ni usomi, lugha haiwezi kuwa kigezo pekee cha kupima kiwango cha elimu, tofautisha intellect na education, muwe mnasoma kabla hamjaandika pumba humu,
Usishangae hata ww hujui lugha ni nini!
Umaskini na ujinga vilidumaza akili zetu, mtu akiwa kiongozi Africa anajikweza sana anaona km amebeba dunia, sisi nao wa chini kumkweza mwenzetu kama Mungu vile unamuita kiongozi majina yoooote unatamani ata umuite Mungu ila marekani washaridhika na hadhi walizonazo ata umuite mbwa hana wasiwasi anajua yuko juu huwezi kumshusha kisa jinaHivi mbona Marekani viongozi wao huwa hawatumii Dr au Prof au mheshimiwa. Wanaitwa kavu tu.
"" ujenzi wa uchumi wa viwanda. ""
How,vikwapi..km viko kwenye process wanawahi nn kumpa "tunzo"
Igembe.Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinatarajiwa kumtunikia Rais Dk. Magufuli Shahada ya Heshima ya Daktari wa Falsafa kwa uongozi wake uliotukuka hususani katika ujenzi wa uchumi wa viwanda na kuwekeza kwenye miundombinu na kuimarisha utawala bora na mapambano ya rushwa.
View attachment 1267468
Maajabu yataishaje kama wewe mwenyewe unadhihirisha hayo maajabu kwa vitendo.Sasa atakua na phd mbili lakini kiingereza kinampita kushoto maajabu ya tz hayaishi
Hivi mbona Marekani viongozi wao huwa hawatumii Dr au Prof au mheshimiwa. Wanaitwa kavu tu.
Sasa atakua na phd mbili lakini kiingereza kinampita kushoto maajabu ya tz hayaishi
Kwani wametaja uzamivu wa kuongea kingereza?Sasa atakua na phd mbili lakini kiingereza kinampita kushoto maajabu ya tz hayaishi
Wanatumia madam na sirHivi mbona Marekani viongozi wao huwa hawatumii Dr au Prof au mheshimiwa. Wanaitwa kavu tu.
Kuongea English sio kupimo cha Intel ya mtuSasa atakua na phd mbili lakini kiingereza kinampita kushoto maajabu ya tz hayaishi