Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja yangu, binafsi napongeza chuo kikuu cha Dodoma kwa kutekeleza ili la kumpa Mh wetu Rais mpendwa PHD ya zawadi ya heshima.
Kwanza katika ili naomba viongozi wa vyuo watambue kuwa Mh Rais huyu tulie nae si miongoni mwa watawala wanao pendezwa na DEGREE za kupewa na si kwamba hapendi kwa ufupi ni kuwa mtu yoyote anae toka KANDA ya ziwa huwezi peleka cheti cha Degree ya kupewa pahala popote na ukaeleweka watu wa kule wanajua AKADEGREE hakagawiwi kama njugu.
Pili hii gedree ya heshima kwa Rais mimi ninaielewa ila vipengele vyote walivyoviweka kwa maana ya kushaiwishi ili jamii tujue kwa nini amepewa n kama vifatavyo.
1. Kuwezesha ujenzi wa viwanda/uchumi wa viwanda Tanzania hii ni siasa tu.
2. Kuboresha Elimu mimi najua aliamasisha elimu bure na kila mwezi anatoa pesa hakika ili nakubaliana nalo.
3. Utawala bora.
Hii no tatu Rais nadhani hata yeye akipewa nafasi aelezee utawala wa Demokrasia alio urisis kwa jakaya ndio tulio nao?
Karbuni tutafakari.