Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Hapo kwenye chuo kikuu cha kata. Subiri povuAmeona afiche aibu yake ya PhD feki kwa kupewa huo uchafu.
Baada ya uzinduzi wa kitabu cha yule mstaafu wa Lupaso. Akakaa nae akamuomba yeye kama mkuu wa chuo cha kata afanye mpango wa kumpa phd ya mezani ili kuua so la phd feki
RIP Ben Saanane
Wamarekani wa silka tofauti, unaweza mkuta mtu anamwita rais kwa jina la kwanza, mfano Barak, Donald au Bill, na hakuna shida. Hapa kwetu unaweza ukawekwa ndani.Hivi mbona Marekani viongozi wao huwa hawatumii Dr au Prof au mheshimiwa. Wanaitwa kavu tu.
Tuwaamini wasomi wetu, bila shaka wakati wa kumtunuku, watatueleza upembuzi yakinifu wao umethibitisha kuna viwanda vingapi, huko wapi, vinalisukuma aje gurudumu la maendeleo la nchi yetu, hadi kutoa hiyo shahada kwa mbunifu wetu."" ujenzi wa uchumi wa viwanda. ""
How,vikwapi..km viko kwenye process wanawahi nn kumpa "tunzo"
wampe PHD na uprofessa kabisa, na speech zake ndio best, za mkapa na kikwete , mwalimu na mwinyi haziingii kwa JIwe kabisa.Makaika Mkuu King Field Marshall Dr. Pombe Jiwe Ngosha Magufuli Conquer of the Tanzania Empire.
Hii itakuwa imekaa vizuri
Watanganyika wengi hawaelewi kuwa terminal 3 ni ya KIKWETEAliyekuwa anasoma wasifu kadanganya kuhusu Ujenzi wa Terminal 3
Sasa atakua na phd mbili lakini kiingereza kinampita kushoto maajabu ya tz hayaishi
Ni utani tu, tulia.Hapo kwenye kusimamia utawala bora huyo profesa amechomekewa au anatutania.
hongera sana JIWE, tafadhali uje huku Mbeya tukupatie phd ya ku-hack simu za watuKwani amekwambia ana shahada za lugha hadi aongee vizuri lugha ya malkia?
Na bado atatunukiwa na nyingine nyingi hadi atakuwa msomi wa digrii 8 πππ