DOKEZO Chuo Kikuu cha Mwenge Catholic University (MWECAU) na Changamoto ya Wanafunzi wa Masters na Rushwa ya fedha na ngono kwa supervisors

DOKEZO Chuo Kikuu cha Mwenge Catholic University (MWECAU) na Changamoto ya Wanafunzi wa Masters na Rushwa ya fedha na ngono kwa supervisors

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mwecau ilianza vizuri,ila miaka mitano iliyopita,Kuna ambao hawajui chuo kilianzia wapi ,wameanza kukiharibu kwa rushwa ya fedha na ngono!
 
Sisi watu weusi tunasoma tupate ajira tuendeshe maisha na sio kupata maarifa na kuibadili dunia.

Matokeo yake ndio hayo, kila mtu anakuwa aggressive kuhitimu kwa kutoa hela, kutombwa, kufirwa, nk akipata cheti anakwenda stage 2 ambayo kutafuta kazi kwa njia hizo hizo, akipata kazi anakwenda stage 3, mbinu hizohizo apate cheo, ongezeko la mshahara, safari za nje na posho.

Hakuna mahala mtu anaweza kuyatumia maarifa aliyopata shuleni kuleta mabadiriko duniani na hata kusonga mbele kimaisha.
 
Kuna daktari mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Mwecau ambaye hivi karibuni ameajiriwa au anatarajiwa kuhamia katika chuo kikuu huko Mbeya. Huyu ni mtu ambaye anahusishwa kwa karibu na vitendo vya rushwa katika chuo alichotangulia.

Mashuhuda wengi wanadai kuwa amekuwa akihusisha fedha katika mchakato wa kupata alama na kupitishwa kwa wanafunzi, hali ambayo imeharibu sifa na ubora wa elimu katika Mwecau.

Sasa anapohamia Mbeya, kuna wasiwasi mkubwa miongoni mwa wanafunzi na wahadhiri wa chuo hicho. Wengi wanasema kuwa ni bora wamkatae ili kuepusha kuharibiwa kwa chuo chao. Hali hii inaonyesha jinsi mtu mmoja anaweza kuathiri mfumo mzima wa elimu na kuleta madhara makubwa kwa wanafunzi na jamii kwa ujumla.

Rushwa ya fedha na ngono, katika elimu si suala la kupuuzilia mbali; inahitaji umakini mkubwa. Hivyo, ni muhimu kwa viongozi wa chuo kikuu cha Mbeya kukagua vizuri rekodi na tabia ya huyu daktari kabla ya kumkubali. Wanafunzi na wahadhiri wanapaswa kuwa na sauti na kutafuta njia za kulinda chuo chao dhidi ya watu wenye nia mbaya.

Kwa ujumla, ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha kuwa elimu inabaki kuwa safi na yenye ubora. Kukabiliana na tatizo la rushwa ni muhimu ili kuimarisha mfumo wa elimu nchini.
Huyo Dkt Adam namfaham fika nje ndani.
Data za hapo Mwecau nazifaham zote, kipindi cha nyuma sana nilikua nabisha baadhi ya mambo kuhusu hapo ila nilieleza baadaye ukweli ni upi!

Hon.Vumilia nafikiri kuna namna amelegeza kamba tofauti na miaka ya nyuma alivyokuwa, hiyo ni taasisi ya dini inatakiwa watumishi wa hapo wazingatie kanuni na taratibu za taaluma yao.

Katika taaluma ya Ualimu, Walimu waliotoka hapo walikua wameandaliwa vizuri na booking shule binafsi walikua wanafanya mapema tu. Ukisema umetokea Mwecau au Udsm, unaaminika kiutendaji na maadili.
Sijui siku hizi!!
 

Attachments

  • IMG-20241124-WA0037.jpg
    IMG-20241124-WA0037.jpg
    124.1 KB · Views: 4
Huyo Dkt Adam namfaham fika nje ndani.
Data za hapo Mwecau nazifaham zote, kipindi cha nyuma sana nilikua nabisha baadhi ya mambo kuhusu hapo ila nilieleza baadaye ukweli ni upi!

Hon.Vumilia nafikiri kuna namna amelegeza kamba tofauti na miaka ya nyuma alivyokuwa, hiyo ni taasisi ya dini inatakiwa watumishi wa hapo wazingatie kanuni na taratibu za taaluma yao.

Katika taaluma ya Ualimu, Walimu waliotoka hapo walikua wameandaliwa vizuri na booking shule binafsi walikua wanafanya mapema tu. Ukisema umetokea Mwecau au Udsm, unaaminika kiutendaji na maadili.
Sijui siku hizi!!
Rushwa ya Ngono na fedha imekidhiri kwenye chuo hicho😕
 
Huna akili na wote wanaokutumia kumchafua mtu anayeondoka kwa kufuata taratibu.

Katika mazingira ya sasa, kuna mambo mengi yanayoendelea ambayo yanahitaji kuangaziwa kwa makini kwenye chuo Cha mwecau. Wakati nikiandika haya, nahisi kuwa ni muhimu kueleza hali halisi ilivyo, na nitakuwa na picha zinazodhihirisha matatizo haya.

Moja ya mambo yanayonishtua ni idadi kubwa ya wanawake wenye watoto ambao wanaishi karibu na eneo la chuo cha MWECAU. Wengi wao ni wakina mama wa pekee, na idadi yao inaonekana kuwa kubwa zaidi kuliko wanafunzi wenyewe. Hali hii inadhihirisha jinsi jamii inavyokumbwa na changamoto za kiuchumi na kijamii, na inahitaji kujadiliwa kwa kina.

Pia, watoto wa mitaani wameongezeka katika maeneo ya karibu na chuo cha MWECAU. Hii ni hali inayoashiria ukosefu wa msaada na fursa kwa watoto hawa. Ni vigumu kuona watoto hawa wakicheza au kujifurahisha, badala yake wanakumbana na hali ngumu ya maisha. Hali hii inatusukuma sisi sote kujiuliza: ni hatua gani tunapaswa kuchukua ili kuboresha hali hii?

Athari za Ukosefu wa Ajira

Ukosefu wa ajira na kipato umeathiri wengi, si tu wanafunzi bali pia wahadhiri na jamii kwa ujumla. Wanafunzi wengi wanashindwa kumudu gharama za masomo na maisha ya kila siku. Hali hii inawafanya wengi wao kuanguka katika mtego wa kukosa mwelekeo na matumaini.

Wahadhiri wengi hawana uaminifu, na wanatumia nafasi hii kuwanufaisha wao binafsi. Hii inasababisha wanafunzi kuhisi kuwa wapo kwenye mazingira magumu sana. Ni wazi kuwa kuna pengo kubwa kati ya matarajio ya wanafunzi na ukweli wa kile wanachokutana nacho chuoni.

Changamoto za Kiuchumi na Kijamii

Chuo MWECAU kinamilikiwa na kanisa, lakini matendo ya wahudumu wa chuo hayaendani na maadili ya kidini. Badala ya kuwa mfano mzuri wa uongozi na msaada, kuna matendo yanayoweza kuharibu sifa ya chuo hiki. Hali hii inawatia wasi wasi wanafunzi na wazazi wao, ambao wanatarajia kuwa watoto wao watapata elimu bora katika mazingira salama na ya heshima.

Ni muhimu kwa viongozi wa chuo na wahadhiri kuzingatia majukumu yao na kutafuta njia za kuboresha hali. Wanahitaji kuzingatia maslahi ya wanafunzi na kuhakikisha wanafunzi wanapata msaada wa kiuchumi, kisaikolojia, na kijamii ili kufikia malengo yao ya kielimu.

Hitimisho

Katika kumalizia, ni wazi kuwa kuna matatizo mengi yanayohitaji kufanyiwa kazi.

Kuandika haya ni hatua moja ya kueleza ukweli na kuhamasisha mabadiliko. Picha zitakazowekwa zitasaidia kuthibitisha madai yangu na kuwapa watu picha halisi ya kile kinachoendelea.

Tunahitaji kuwa na mazungumzo zaidi kuhusu changamoto hizi na kutafuta suluhisho. Wote tunachangia katika kuboresha mazingira ya elimu, na ni jukumu letu kuhakikisha kuwa kila mwanafunzi anapata nafasi ya kufanikiwa. Ni wakati wa kuchukua hatua na kufanya mabadiliko yanayohitajika kwa ajili ya kizazi hiki na vizazi vijavyo.
 
Hold on! Unataka nimuaobishe Dr Adam🫢
Haya ni majibu ya huyo Dr. Adam baada ya kupata tuhuma za huu uzi huko kwenye whatsap group lao........." Duh, huyu mtu hajui MWECAU kabisa.
Naona ata mimi nimehusishwa eti napokea rushwa. Nadhani huyo mtu hajui MWECAU kabisa.

Kwanza hakuna lecturer anayeweza kuingilia mfumo wa matokeo eti abadilishe. Kila mhadhiri anaweka matokeo ya kozi yake mwenyewe kwenye mfumo na hakuna mwingine anayeweza kuyabadilisha.

Pili hakuna matokeo yanayowekwa na mtu binafsi bila moderation meeting.

Tatu, research process assessment inafanywa na watu watatu na alama zao zinatafitiwa average, na ndiyo yanayokuwa matokeo halisi ya mtahiniwa. Hapo hakunaga forgery maana kila kitu kinafanyika kwa uwazi kwenye vikao vinavyofanya verdict kuamua mtahiniwa amefaulu au amefeli.

Nne, mtihani wa utafiti wa mwisho unahusisha external examiners na open intensive defenses.

Sasa, anaposema rushwa, binafsi ata sielewi hiyo rushwa inapitia wapi.

Mbaya zaidi, baadhi ya wanafunzi wangu waliohitimu mwaka huu wamenilaumu kwa kuwakazia mitihani yangu, kozi zangu ndizi zimeongoza kwa ufaulu mdogo.

Huyu ana jambo lake binafsi. Baadhi yenu humu ni wanafunzi wangu akiwepo Bwaya. Niliyewahi kumuomba rushwa ata ya mia moja ajitokeze wazi.

Nashauri anayetaka kuharibi taswira ya chuo aache tafadhali. Khaaaaa"

.....tuhuma zako zimeanza kupata majibu...
 
Haya ni majibu ya huyo Dr. Adam baada ya kupata tuhuma za huu uzi huko kwenye whatsap group lao........." Duh, huyu mtu hajui MWECAU kabisa.
Naona ata mimi nimehusishwa eti napokea rushwa. Nadhani huyo mtu hajui MWECAU kabisa.

Kwanza hakuna lecturer anayeweza kuingilia mfumo wa matokeo eti abadilishe. Kila mhadhiri anaweka matokeo ya kozi yake mwenyewe kwenye mfumo na hakuna mwingine anayeweza kuyabadilisha.

Pili hakuna matokeo yanayowekwa na mtu binafsi bila moderation meeting.

Tatu, research process assessment inafanywa na watu watatu na alama zao zinatafitiwa average, na ndiyo yanayokuwa matokeo halisi ya mtahiniwa. Hapo hakunaga forgery maana kila kitu kinafanyika kwa uwazi kwenye vikao vinavyofanya verdict kuamua mtahiniwa amefaulu au amefeli.

Nne, mtihani wa utafiti wa mwisho unahusisha external examiners na open intensive defenses.

Sasa, anaposema rushwa, binafsi ata sielewi hiyo rushwa inapitia wapi.

Mbaya zaidi, baadhi ya wanafunzi wangu waliohitimu mwaka huu wamenilaumu kwa kuwakazia mitihani yangu, kozi zangu ndizi zimeongoza kwa ufaulu mdogo.

Huyu ana jambo lake binafsi. Baadhi yenu humu ni wanafunzi wangu akiwepo Bwaya. Niliyewahi kumuomba rushwa ata ya mia moja ajitokeze wazi.

Nashauri anayetaka kuharibi taswira ya chuo aache tafadhali. Khaaaaa"

.....tuhuma zako zimeanza kupata majibu...
Je, kuna utaratibu wa kulalamika rasmi kuhusu tuhuma hizi?
 
Je, kuna utaratibu wa kulalamika rasmi kuhusu tuhuma hizi?
Yaani mpaka unafungua akaunti JF wewe ni mtu mzima, huhitaji kufundishwa au kuelekezwa utaratibu gani utumie kufikisha tuhuma zako, kila taasisi ina utaratibu wake hata watoto wa primary/secondary Wana utaratibu mashuleni. Wewe kama hukuwa na chuki zako binafsi na unakitakia chuo a better transformation fuata utaratibu. Kuleta tuhuma za mtu/taasisi kwenye public bila ushahidi usio na mashaka ni kosa la jinai na mtu huyo akifanikiwa kupata true identity yako anaweza akakichukulia hatua za kisheria za kumchafua na ukamlipa fidia kubwa. Badala ya kutumia fake ID kama una tuhuma genuine fuata utaratibu na utaonekana ni mtu mstaarabu na uliyeelimika.
 
Yaani mpaka unafungua akaunti JF wewe ni mtu mzima, huhitaji kufundishwa au kuelekezwa utaratibu gani utumie kufikisha tuhuma zako, kila taasisi ina utaratibu wake hata watoto wa primary/secondary Wana utaratibu mashuleni. Wewe kama hukuwa na chuki zako binafsi na unakitakia chuo a better transformation fuata utaratibu. Kuleta tuhuma za mtu/taasisi kwenye public bila ushahidi usio na mashaka ni kosa la jinai na mtu huyo akifanikiwa kupata true identity yako anaweza akakichukulia hatua za kisheria za kumchafua na ukamlipa fidia kubwa. Badala ya kutumia fake ID kama una tuhuma genuine fuata utaratibu na utaonekana ni mtu mstaarabu na uliyeelimika.
Wewe ndiye mhusika mkuu,wa tuhuma zilizoelekezwa MWECAU
 
Yaani mpaka unafungua akaunti JF wewe ni mtu mzima, huhitaji kufundishwa au kuelekezwa utaratibu gani utumie kufikisha tuhuma zako, kila taasisi ina utaratibu wake hata watoto wa primary/secondary Wana utaratibu mashuleni. Wewe kama hukuwa na chuki zako binafsi na unakitakia chuo a better transformation fuata utaratibu. Kuleta tuhuma za mtu/taasisi kwenye public bila ushahidi usio na mashaka ni kosa la jinai na mtu huyo akifanikiwa kupata true identity yako anaweza akakichukulia hatua za kisheria za kumchafua na ukamlipa fidia kubwa. Badala ya kutumia fake ID kama una tuhuma genuine fuata utaratibu na utaonekana ni mtu mstaarabu na uliyeelimika.
Unahitaji ushahidi nikutajie?
 
Yaani mpaka unafungua akaunti JF wewe ni mtu mzima, huhitaji kufundishwa au kuelekezwa utaratibu gani utumie kufikisha tuhuma zako, kila taasisi ina utaratibu wake hata watoto wa primary/secondary Wana utaratibu mashuleni. Wewe kama hukuwa na chuki zako binafsi na unakitakia chuo a better transformation fuata utaratibu. Kuleta tuhuma za mtu/taasisi kwenye public bila ushahidi usio na mashaka ni kosa la jinai na mtu huyo akifanikiwa kupata true identity yako anaweza akakichukulia hatua za kisheria za kumchafua na ukamlipa fidia kubwa. Badala ya kutumia fake ID kama una tuhuma genuine fuata utaratibu na utaonekana ni mtu mstaarabu na uliyeelimika.
Ulipata msaada wa mkopo kutoka chuo cha Mwecau! Kabla ya hapo, ulikuwa katika hali ngumu ya kujisomesha. Sasa umepunguza matatizo yako, lakini umeshiriki katika uharibifu wa chuo kwa sababu ya rushwa ya fedha na ngono. Kwa sasa, umekuwa ukifanya juhudi za kuhamia chuo kingine, ili kuweza kuharibu tena.

Hali hii inaonyesha jinsi baadhi ya wanafunzi wanavyoweza kutumia rasilimali walizopata kwa njia mbaya. Ingawa mkopo ulisaidia kumaliza masomo yako, umeacha alama mbaya katika chuo hicho. Rushwa na ufisadi ni matatizo makubwa yanayoathiri mfumo wa elimu, na ni vigumu kuleta mabadiliko chanya katika mazingira kama hayo.

Kuhamia kwa chuo kingine ni hatua ambayo inaweza kuleta changamoto zaidi, na ni muhimu kutafakari ni nini kinachomfanya mtu kujaribu kuharibu tena mazingira ya masomo. Badala ya kuleta uharibifu, inafaa kufikiri jinsi ya kusaidia kuboresha hali ya elimu na kuhamasisha wengine kuondokana na tabia hizi mbaya.

Kila mwanafunzi anapaswa kuwa mfano wa kuigwa, akijitahidi kujenga mazingira bora ya kujifunza. Tunapaswa kufanya kazi pamoja ili kupambana na rushwa na kuhakikisha kuwa kila mmoja anapata fursa sawa ya elimu. Ni jukumu letu kuleta mabadiliko chanya, badala ya kuhamasisha uharibifu. Katika muktadha huu, ni muhimu kujifunza kutokana na makosa na kujaribu kuwa na athari nzuri katika jamii yetu ya elimu.
 
Back
Top Bottom