A
Anonymous
Guest
Wanafunzi tumejaa katika Ukumbi wa chuo kiasi kwamba wengine wamesimama, tupo hapo kwa ajili ya masomo na sio jambo la 'fun', hivi hapo kitaeleweka kitu kweli darasani?
Hii ni taasisi kubwa kielimu na kwa sifa, hiki kinachoendelea, sio sawa, mazingira yanatakiwa kuboreshwa na kuwa ya kisasa ili yaendane na hadhi ya chuo.
Pia soma ~ Canteen za Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT ) Mwanza zimechakaa, hazifai kwa matumizi