Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

Habari zenu mabibi na mabwana,leo juzi Mocu wametoa mkeka kwa wasailiwa kuhudhuria usaili,ila kuna kada moja hawajaitoa,je hapo napo vipi yaani kada zote zipo kasoro kada moja tu haipo,maoni yenu wadau hapo
Kada gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…