Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Lugha ya mwarabu.....Ni asaala alaykhuum ndiyo imempa cheti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha ya mwarabu.....Ni asaala alaykhuum ndiyo imempa cheti
They are miles away.Sidhani kama wagalatia wana wivu wa kishamba kiasi hicho
Ww huwaoni wanavyo teseka kwenye coment zao?Sidhani kama wagalatia wana wivu wa kishamba kiasi hicho
Hao wajeuri huwa haya hayawasumbui. Sema Mbaraka huwa napenda anapoanza na asalam aleikum... Hiii nlishauri hata mimi apongezwe. Itamtia moyo sana....Hili pia litawatesa wagalatia
Subiri uone sasa
Daaaaaaah..... Si haba lakini bora tunachokuliko kukosa kabisa.Hicho chuo hata website Yao tu Huwa haifunguki
Hamna kitu kama hichoWw huwaoni wanavyo teseka kwenye coment zao?
Hiyo ni kazi yake, nataka kuujua wasifu wakeMtangazaji wa Azam
😀😀😀 sijasoma mum mzee hata huko chuo sijafikaNawaona wasomi wa MUM wanaotusumbua humu akina Malaria 2 Bwana Utam
Umenifurahisha sana,wewe sikuwezimAsalaaamKuna ka lugha huwa anakatumia wakati akifungua matangazo " Asalam......" Nadhani ndio kimewavutia zaidi wanazuoni hao kuona ansongea kiswahili Cha ndaaaaaaaani kabisa kiasi Cha kustahili tuzo kutoka kwenye taasisi hiyo ya elimu ya kidini
Nimesoma chuo cha kanisa na nikiwapita wakiristo wote. Nilikua najitambua tuNawaona wasomi wa MUM wanaotusumbua humu akina Malaria 2 Bwana Utam
Ptia sasa reply uone,Sidhani kama wagalatia wana wivu wa kishamba kiasi hicho
Nimeingia YouTube nika-searcch kusikiliza utangazaji wake. Unfortunately sijaridhishwa kuwa ni mtangaji mzuri. Kasoro kubwa ni kuwa sauti yake siyo natural. Yaani anatumia sauti na utamkaji wa maneno wa kuiga ambao watangazaji wengi wa Bongo huwa wanadhani ni lazima utamke hivyo. Ajaribu kujifunza kwa watu kama kina Charles Hilary. Unaongea na kutamka maneno kwa sauti na lafudhi yako ya asili.
Kwani huzioni hizo coment wanazo toa wagaratia ? badala wampongeze Mpenja wao wamesha anza kuleta mijadara ya kidini na kejeli , hiyo tuzo angekuwa amepewa na chuo cha kanisa hizo kejeli ungeziona?Hamna kitu kama hicho
Hiki cheti katunukiwa sababu ali slim. Kutoka ukafir hadi kwenye dini ya haqi ni suala kubwa.Hivi hiki chuo kipo kumbe? Huyu Mpenja NI wa Deen yetu?
Dhafuli ndo kitu gani wewe?Nimeingia YouTube nika-searcch kusikiliza utangazaji wake. Unfortunately sijaridhishwa kuwa ni mtangaji mzuri. Kasoro kubwa ni kuwa sauti yake siyo natural. Yaani anatumia sauti na utamkaji wa maneno wa kuiga ambao watangazaji wengi wa Bongo huwa wanadhani ni lazima utamke hivyo. Ajaribu kujifunza kwa watu kama kina Charles Hilary. Unaongea na kutamka maneno kwa sauti na dhafuli yako ya asili.
Kwani huzioni hizo coment wanazo toa wagaratia ? badala wampongeze Mpenja wao wamesha anza kuleta mijadara ya kidini na kejeli , hiyo tuzo angekuwa amepewa na chuo cha kanisa hizo kejeli ungeziona?
Kwani huzioni nyuzi zilizo jazana humu kuilalamikia Azam kwa kuwapendelea waisilam lakini huwezi sikia waisilam wakilalamikia ITV na Star vt kwa kuwapendelea wagaratia.
Kwani huoni Samia akifanya uteuzi jina likawa la kiarabu nyuzi zinaanzishwa kulalamika kuwa Samia ni mdini?
Sorry ni lafudhi... Ohooo, ndiyo maana nikasema hiyo sauti siyo ya asili...Dhafuli ndo kitu gani wewe?
Huyu alikuwa mgalatia Sasa kabadili dini hapo azam sasa anajaribu kuzungumza kiarabuarabu hivi.