Chuo Kikuu cha Waislam cha Morogoro (MUM) chamtunuku Baraka Mpenja Cheti cha Kutambua mchango wake kwenye lugha na utamaduni

Kuna ka lugha huwa anakatumia wakati akifungua matangazo " Asalam......" Nadhani ndio kimewavutia zaidi wanazuoni hao kuona ansongea kiswahili Cha ndaaaaaaaani kabisa kiasi Cha kustahili tuzo kutoka kwenye taasisi hiyo ya elimu ya kidini
Hahaha haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…