wansawa
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 857
- 857
Ili iweje? Na akiwepo basi ni mamluki anakazi maalum si mwanachuo ni mchunguzi wa chuo nn kinaendelea.Hivi hicho chuo kina wanafunzi wa wakristo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili iweje? Na akiwepo basi ni mamluki anakazi maalum si mwanachuo ni mchunguzi wa chuo nn kinaendelea.Hivi hicho chuo kina wanafunzi wa wakristo ?
[emoji28][emoji28][emoji28]Halafu ndio umetoka zako chuo na uko chuo umechapwa,unafika home tu mwanao nae anakuja kukulalamikia kuwa leo shuleni mwalimu fulani kanichapa,hapo wewe kama mzazi sijui utajibu nini ilo swali
Ni madrasa iliyopewa hadhi ya chuo.Kwanza huwez kukutana ofisini na mtu kasoma Chuo cha Morogoro Muslim. Bahat mbaya kwa uchache sana utamkuta mmoja mmoja ktk Ualimu mashuleni, na uwezo wao wa akili ni mdogo sana. Hiko sio chuo bali ni kituo kinacho kusanya wapuuzi wengi na kuwapotezea muda.
AseeeeKwanza huwez kukutana ofisini na mtu kasoma Chuo cha Morogoro Muslim. Bahat mbaya kwa uchache sana utamkuta mmoja mmoja ktk Ualimu mashuleni, na uwezo wao wa akili ni mdogo sana. Hiko sio chuo bali ni kituo kinacho kusanya wapuuzi wengi na kuwapotezea muda.
Ebu ndugu yangu katika mnyezi mungu Melelani na cocastic muione hii maana wao wamekutana na Jafari, Ahmed Ally na mwalimu wa veta. Nawaambie wanitajie wengine wawili hawajajibu labda watatuongezea wengine.Kwanza huwez kukutana ofisini na mtu kasoma Chuo cha Morogoro Muslim. Bahat mbaya kwa uchache sana utamkuta mmoja mmoja ktk Ualimu mashuleni, na uwezo wao wa akili ni mdogo sana. Hiko sio chuo bali ni kituo kinacho kusanya wapuuzi wengi na kuwapotezea muda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ustaadh yuko sahihi, hiki kizazi kinahitaji bakora mpaka vyuoni huko...maana hakijielewi kabisa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamas UniversityWanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
Wengi wao wajinga wajinga sana, Wana udini tuuKwanza huwez kukutana ofisini na mtu kasoma Chuo cha Morogoro Muslim. Bahat mbaya kwa uchache sana utamkuta mmoja mmoja ktk Ualimu mashuleni, na uwezo wao wa akili ni mdogo sana. Hiko sio chuo bali ni kituo kinacho kusanya wapuuzi wengi na kuwapotezea muda.
Bakora muhimu Sana. Kwa kizazi hiki ambacho kinajadili mpira muda wa venue
takbiirChuo kikuu wanasoma watu wazima.
Bado adhabu ya kupigwa mawe mpaka kufa inafuata
Msilete uzinzi chuoni