Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
GasarikileAmang'ana
Mzushi [emoji1787][emoji1787][emoji38]Hichi kivumbi April kinaweza kuwa kwenye kilele nadhani hapo ndiyo patakuwa patashika nguo kuchanika, hebu tuendelee kula mtori nimesikia wanasema nyama zipo chini [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Mi najilinda mwenyewe kusubiria walioshiba wakupe maelekezo utakufa utawaacha
Kuna gazeti moja la zamani kulikuwa na mhariri anaandika makala zake kisha mwisho kabisa anaandika NIMEPASUA JIPU.
Sasa naona Taifa limeanza kuamka...
Kwa nani aisee?. Funguka mkuuInaitwa Mbwa kala Mbwa... Leo Msiba upo Masaki
NadhaniKuna mtu anataka kumgaribia kazi Bisanda sio bure