Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21

Corona: Wizara ya Elimu yaukana waraka wa Prof. Elifas Tozo Bisanda Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT)
 
Corona: Wizara ya Elimu yaukana waraka wa Prof. Elifas Tozo Bisanda Makamu wa Chuo Kikuu Huria (OUT)
 
Ni vema kuchukua tahadhari dhidi ya Deportivo kweli anaua Sana

Vaa barakoa , osha mikono kwa maji tiririka, zingatia umbali social distance
 
Umefanya kazi ya kiutume Prof. Bisanda, ubarikiwe sana kwa ujumbe huu, nina amini umeokoa watu wengi indirectly,
 
Inasikitisha sana Waziri wa Wizara husika ambaye ni msomi katika kada ya afya yupo against juhudi za wasomi hawa
 
Juzi nimepoteza ndugu wawili na tuliokuwa msibani wote tupo kwenye dozi za NIMRCAF wanne wapo kwenye oxygen. Hali ni mbaya.
Poleni sana mkuu...
M/Mungu awafanyie wepesi ... kwenye kipindi hiki kigumu!
 
Nitakuwa wa mwisho kumtupia jiwe Prof. Bisanda
 
A
Acha utoto basi watu wanajadili mustakabari wa taifa afu we unaleta izi mambo zako. Uki kaa kimya unapungukiwa nini??
 
A

Acha utoto basi watu wanajadili mustakabari wa taifa afu we unaleta izi mambo zako. Uki kaa kimya unapungukiwa nini??
nilishaapa kwa jina langu si coment tena thread za covid.tangu Jana natekeleza kiapo chapo.na hapa sija coment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…