Chuo Kikuu Huria (OUT), mnatakatisha vyeti vya wanasiasa?

Na atapata GPA ya 4.8 subiri uone jinsi nepi akifanya maajabu ingawa huko kwingine kote kazungusha.
 
Nepi ni taswira tosha ya kufeli kiuongozi kwa awamu hii
 
Hapo lengo ni kuitwa Dr. Nape

Siasa za nchi hii bila PhD ya uongo na kweli haufiki mbali.
 
KUMBE NDO MAANA JAMAA MAMBO YAKE YA HOVYO HOVYO TU;Hii nchi Ina viongozi wa HOVYO sana ,kweli huyu atakua sio mtoto wa NNAUYE
 
Nape anatamani jambo jema Elimu ipo Kwa ajili ya kuwapa watu maarifa. Tunahitaji watu kama hao wanaothubitu haya mambo yakiwa magumu
 
Mwanafunzi Undergraduate Programme of Bachelor of Laws (LL.B.) kupata udahili ni lazima awe na credits (C) mbili za kidato cha nne. Vyuo vikuu vingine vimeelekeza, masomo hayo ni History na English.
Yaani LL.B unaiita undergraduate?
 
Wanaachwa wasomi wanateuliwa vilaza! Ndio maana hatuendelei!!! Hongera Kwa uchunguzi murua!
 
Hiki chuo naona kumebainika watahiniwa 17 feki,yaani wanawafanyia watu wengine mitihani,yaani ni ujinga mkubwa.
 
Mkuu iko kabla ya Prof mbwete wanachofanya n marudiooo sasa kama wananfunzi wanachakaxhua wao nani wasiweze
Hapoinaitwa pambana upate chako
 
Aisee, basi OUT hovyo kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…