malema 1989
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 1,319
- 520
Ni muda sasa nimesikia kuhusu hiki chuo kipya cha kilimo cha katavi. Naomba kujua mambo yafuatayo:
- udahili wa wanafunzi ulishaanza?
- vipi kuhusu ajira za wahadhiri?
- naomba waliopo karibu wanipe picha za majengo
- je ni shahada zipi zinazotolewa?
- etc