Chuo kipi kati ya hivi unakikubali zaidi na kipi kati yao kinabolonga..!!

Chuo kipi kati ya hivi unakikubali zaidi na kipi kati yao kinabolonga..!!

Naanza kuwa na wacwac na wasomi wetu yani ninauliza swali mtu anatoa ushauri mkuu jipange soma post elewa ukiona inaboa pita mbali....!

Kila chuo kina ubora wake na weakness zake hauwezi kulinganisha vyuo viko tofauti, course tofauti.. na mwisho hauwez kusema chuo hiki bora kuliko hiki.
 
watoto wa first year utawajua tu.
Soma dogo, kisha uje mtaani Ndio utajua kipi ni bora.

Hahahaha..!! Unaweweseka tu Swali lingine jibu lingine kazi kwelikweli...!
 
Jitambue mkuu. Hapa nimekujibu vizuri sana wewe unazungumzia ubora upi

Mkuu namaanisha ubora in academic coz mi nadhni tukubaliane hivi vyuo havipo sawa ndo maana baadh ya NGOs wanapendelea kuajir zaidi wanafunzi kutoka vyuo fulani fulani wakiamini vyuo hivyo vipo safi zaidi kiacademic sijui umenipata mkuu....???
 
Mkuu namaanisha ubora in academic coz mi nadhni tukubaliane hivi vyuo havipo sawa ndo maana baadh ya NGOs wanapendelea kuajir zaidi wanafunzi kutoka vyuo fulani fulani wakiamini vyuo hivyo vipo safi zaidi kiacademic sijui umenipata mkuu....???

Mkuu nimekuelewa vizuri tu. Ni hivi kila chuo kina specilization mfano udsm wana engineering mzumbe hakuna, Sua wana agriculture, range mgt, rural dvt,agribusiness, lakn udsm, mzumbe na teku hamna, mzumbe wana record mgt, procurement, health mgt, production operational mgt, wakati udsm, sua na teku hamna. Turudi kwenye ajira waajiri wanaangalia competence ya mtu na kuna sababu nyingi na vigezo vingi vya kupata ajira kutokana na mahitaji ya mwajiri. Kwa hiyi basi kusoma sua, udsm, mu, teku sio kigezo tosha cha kupata ajira.
 
Mkuu nimekuelewa vizuri tu. Ni hivi kila chuo kina specilization mfano udsm wana engineering mzumbe hakuna, Sua wana agriculture, range mgt, rural dvt,agribusiness, lakn udsm, mzumbe na teku hamna, mzumbe wana record mgt, procurement, health mgt, production operational mgt, wakati udsm, sua na teku hamna. Turudi kwenye ajira waajiri wanaangalia
competence ya mtu na kuna sababu nyingi na vigezo vingi vya kupata ajira kutokana na mahitaji ya mwajiri. Kwa hiyi basi kusoma sua, udsm, mu, teku sio kigezo tosha cha kupata ajira.

Mkuu kama vyuo vyote ni sawa je kwa nini kunakuwepo na best university mfano top 100 university in africa au top 10 university in tz na n.k....??
 
Mkuu kama vyuo vyote ni sawa je kwa nini kunakuwepo na best university mfano top 100 university in africa au top 10 university in tz na n.k....??

Kuna same basis criteria for evaluation best university
 
Bangi Sasa Na Wewe. Iv U First Year Ndo Upo Ivi? Siamin Wote Kama Mpo Iv
 
unataka ujue chuo bora il iwaje nan mefanya research hyo il ujirdhishe na ilo na faida gan upate.
 
Udsm ni chuo kinachoongoza kuwa na maprofesa wengi na weledi tanzania hivyo hata elimu inayopatikana hapo ni bora ukilinganisha na vyuo vingine. Tatizo la udsm ni miundo mbinu tu lakini kwa elimu bora hapana chezea tanzania hata afrika
 
Udsm ni chuo kinachoongoza kuwa na maprofesa wengi na weledi tanzania hivyo hata elimu inayopatikana hapo ni bora ukilinganisha na vyuo vingine. Tatizo la udsm ni miundo mbinu tu lakini kwa elimu bora hapana chezea tanzania hata afrika

elimu bora inawezatolewa penye miundombinu duni?
 
Kati ya (Mzumbe,Udsm,Sua,Sauti na Udom) ni chuo kipi kati ya hivi unakikubali kwa kutoa taalumu bora kabisa na kipi kati ya hivyo vyuo kinabolonga..!

utafananishaje Sua vs udsm,mzumbe
 
Udsm ni chuo kinachoongoza kuwa na maprofesa wengi na weledi tanzania hivyo hata elimu inayopatikana hapo ni bora ukilinganisha na vyuo vingine. Tatizo la udsm ni miundo mbinu tu lakini kwa elimu bora hapana chezea tanzania hata afrika

elimu bora hailetwi na maprofessor hata Sua hapa kuna maprofesor wengi sana!!!! lakin kuna professor wanFundisha kwa slide engineering
 
Mkuu kama vyuo vyote ni sawa je kwa nini kunakuwepo na best university mfano top 100 university in africa au top 10 university in tz na n.k....??

basi kasome agricultural engineering and land planning udsm alaaaaa
 
Udsm ni chuo kinachoongoza kuwa na maprofesa wengi na weledi tanzania hivyo hata elimu inayopatikana hapo ni bora ukilinganisha na vyuo vingine. Tatizo la udsm ni miundo mbinu tu lakini kwa elimu bora hapana chezea tanzania hata afrika

kuna dr anafundisha material technology for engineering anafundisha vizuri kuliko hata maprofesor wengi unatakiwa kutambua Kuwa what is professor ? siyo tu unabwabwaja ala?
 
Udsm ni chuo kinachoongoza kuwa na maprofesa wengi na weledi tanzania hivyo hata elimu inayopatikana hapo ni bora ukilinganisha na vyuo vingine. Tatizo la udsm ni miundo mbinu tu lakini kwa elimu bora hapana chezea tanzania hata afrika

Mkuu axante wewe ndo umejibu km swali lilivyouliza wengine wanaweweseka tu...!!
 
Back
Top Bottom