Chuo kipi kati ya hivi unakikubali zaidi na kipi kati yao kinabolonga..!!

Chuo kipi kati ya hivi unakikubali zaidi na kipi kati yao kinabolonga..!!

Pole sana kwa sababu hujitambui

Mkuu mm na ww nani ajitambui xx coz nimeweka uzi hapo umechangia it means that umeuelewwa uzi kwa hiyo unaposema sijitambui pengine ungejichunguza kwanza km unajitambua usingejibu...!!
 
Mkuu mm na ww nani ajitambui xx coz nimeweka uzi hapo umechangia it means that umeuelewwa uzi kwa hiyo unaposema sijitambui pengine ungejichunguza kwanza km unajitambua usingejibu...!!

uandishi wako tu.. vilaza huwa wanajulikana. ,
 
kuna mambo mengine hayana msingi na haswa kwa wewe muulizaji maana unavyoonyesha umekuja kuuliza swali na huku tayari una majibu yako kichwani sasa hizo ni kejeli kwa vichwa vya watu,wewe soma zingatia shule yako utakapoitwa kwenye interview na kufanya vizuri na kuweza kuitumia elimu yako vizuri kuleta tija!
 
Mkuu mm na ww nani ajitambui xx coz nimeweka uzi hapo umechangia it means that umeuelewwa uzi kwa hiyo unaposema sijitambui pengine ungejichunguza kwanza km unajitambua usingejibu...!!

Hii lugha ya facebook iache huko huko. Kilaza mkubwa ww unadhan tunaochangia hapa tuna same level of thinking Poor you.
 
Kati ya (Mzumbe,Udsm,Sua,Sauti na Udom) ni chuo kipi kati ya hivi unakikubali kwa kutoa taalumu bora kabisa na kipi kati ya hivyo vyuo kinabolonga..!

Sikulaumu ila Kuna umuhimu wa JF kuanzishwa jukwaa jipya kwa ajili ya watu wenye akili na mada kama zako!
 
Mkuu Jephta2003 hii ingekuwa ni interview unge score 0 next tyme angalia vizuri swali afu jibu inavyopaswa km unaona ni ngumu kumeza pita kimyakimya...!!

we dogo hujielewi kabisa,kama unataka data nenda TCU
 
Back
Top Bottom