Nguyaki
Member
- Jan 3, 2013
- 91
- 22
Habari.
Naombe ushauri , ni chuo gani hapa D'salaam kinafundisha usimamizi wa fedha.
Mfano banking,accountant,nk.Vyuo vimekuwa vingi sana na ni vichache tu
ndio zinafanya vizuri katika ufundishaji vingine ni biashara tu.
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa ananishauri TIU(Tanzania International Uniersity)
, IFM(Institute of Finance Management) na CBE(College of Business Education)
Please ushauri wenu tafadhali.
Naombe ushauri , ni chuo gani hapa D'salaam kinafundisha usimamizi wa fedha.
Mfano banking,accountant,nk.Vyuo vimekuwa vingi sana na ni vichache tu
ndio zinafanya vizuri katika ufundishaji vingine ni biashara tu.
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa ananishauri TIU(Tanzania International Uniersity)
, IFM(Institute of Finance Management) na CBE(College of Business Education)
Please ushauri wenu tafadhali.