Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

Chuo kipi ni kizuri kwa course ya diploma in electrical engineering hapa bongo?

Bro tofauti ipo Kati ya must na hivo vingine yaan( ATC na DIT) huku sisi ukifeli kuchomoa supp una retake yaan unarudia mwaka wenzako wanaendelea mwka mwingine wew unarudia Somo ulilofeli Ila MUST wana carry wenyew hamna Cha kurudia mwaka utalisoma Hilo somo ukiwa mwaka mwingine

Ko DIT utakuta mtu anasoma diploma miaka Mitano ni Kawaida Sana sio Kama wenzetu wa MUST wenyew mteremko tu yaan kiufupu MUST wako tofauti Sana na ATC na DIT hata kwenye CA hapa DIT usipofika 20 marks kwa CA hufanyi mtihani wa mwisho wa semister Ila MUST unaingia unafanya Kama Kawaida na ukifaulu unaendelea mwaka mwingine Ila sisi CA ukizingua unasubri mwaka unaofuata wenzako wanaendelea wew unarudia na wadogo zako kusoma Hilo somo

NOTE: DIT na ATC wako sawa kitaaluma tofauti ni mazingira tu Ila MUST wako tofauti kimazingira na system za elimu yao
Nashukuru kwa ufafanuzi.
 
Mdogo wangu nisikilize kama kweli una passion ya electrical engineering nenda Mbeya university of science and technology (MUST) haraka sna

Kasome iyo diploma

Nakwambia hutajuta Kwa sasa nina uzoefu (experience) navijua vyuo vyote vya engineering vizur sna.

I recommend that!
Seriously MUST??????😃
 
Habari zenu wana JF.
Mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2021.Najua matokeo hayajatoka kwa selection ya 2022 lakini huwa na penda kufatilia vitu mapema ili nijipange.Ningependa kupata mawazo yenu kuhusu hiyo title.(dhumuni kuu:nimechagua DIT kwenye selform but tangu nije home nasikia sifa mbaya na ninasikia kinazidi kushuka viwango mpaka naona nitaenda kupotea kitaaluma).Pengine naweza badilisha maamuzi mkinishauri.
#Kila mwenye moyo wa kuchangia thread hii abarikiwe na Mwenyezi Mungu
Dogo nimesoma Arusha tech diploma ,,bachelor MUST ushahuri wangu nenda Arusha tech kasome
 
Nenda Veta ila ujue kazi hamna so jitahidi uanze kuwa fundi Maiko mapema😅
 
Bro tofauti ipo Kati ya must na hivo vingine yaan( ATC na DIT) huku sisi ukifeli kuchomoa supp una retake yaan unarudia mwaka wenzako wanaendelea mwka mwingine wew unarudia Somo ulilofeli Ila MUST wana carry wenyew hamna Cha kurudia mwaka utalisoma Hilo somo ukiwa mwaka mwingine

Ko DIT utakuta mtu anasoma diploma miaka Mitano ni Kawaida Sana sio Kama wenzetu wa MUST wenyew mteremko tu yaan kiufupu MUST wako tofauti Sana na ATC na DIT hata kwenye CA hapa DIT usipofika 20 marks kwa CA hufanyi mtihani wa mwisho wa semister Ila MUST unaingia unafanya Kama Kawaida na ukifaulu unaendelea mwaka mwingine Ila sisi CA ukizingua unasubri mwaka unaofuata wenzako wanaendelea wew unarudia na wadogo zako kusoma Hilo somo

NOTE: DIT na ATC wako sawa kitaaluma tofauti ni mazingira tu Ila MUST wako tofauti kimazingira na system za elimu yao
CA ni nini?
 
Ww angalia ni Mazingira yapi yatakuwa favourable kwako mambo ya Elimu ya Bongo ni ileile tu(Theoretical oriented) mambo za practical utazikuta kazini.
 
Back
Top Bottom