Javis Elias Balilemwa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 489
- 67
Ndugu wanna Jamvi nimepata Physics D chemistry c. Biology B nataka kuaply chuo kizuri katk kozi ya MD ambacho hakipo mbali sana na Tanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wanna Jamvi nimepata Physics D chemistry c. Biology B nataka kuaply chuo kizuri katk kozi ya MD ambacho hakipo mbali sana na Tanga
St francis morogoro ilaaa kwa muhas sidhani kama utapataa
Kwa hyo jamani kozi gain ya afya inaweza ika fit kwa matokeo hayo kwenye vyuo vya serikali ukiacha nersing
Ndugu wanna Jamvi nimepata Physics D chemistry c. Biology B nataka kuaply chuo kizuri katk kozi ya MD ambacho hakipo mbali sana na Tanga
Kwa hyo jamani kozi gain ya afya inaweza ika fit kwa matokeo hayo kwenye vyuo vya serikali ukiacha nersing
Kuwa wazi mzee...MD degree, diploma or cert.?
Anataka cha serikali ila kwa matokeo yake sijajua kama atapata
Diploma kk
Afuuu pia kakaa nursing iyoo ambayoo unaikwepaa wenzakoo wanaikosaa wenye hataa div 1 zaoo usizarauu kozi yoyote ya afya kakaaa itafikaa mdaa utazitafutaa utazikosaa
True kk so kwa clinical medicine naweza nikachaguliwa government nikiaplyAfuuu pia kakaa nursing iyoo ambayoo unaikwepaa wenzakoo wanaikosaa wenye hataa div 1 zaoo usizarauu kozi yoyote ya afya kakaaa itafikaa mdaa utazitafutaa utazikosaa
Guys, kwani muhas wanachukua pcb,
kwa ufaulu gani?
True kk so kwa clinical medicine naweza nikachaguliwa government nikiaply
Yaaa utapata depending na compition sijajua math una ngapi na kingereza
Math F Ila English B
Daaaaa kakaaa ndioo bios B umeweka vizurii lakini kiukwelii kwa vyuo vya government hata udom itakupa shida sana mwananguu madogo wa BRN wanapigaa miB+ skuizii mbaka bhasii sema kamaa unamalengo na uchunguu weka clinical medicine utapiga degree baadaee kuliko kukosaa vyotee na kukaa kitaa na ndevuu kuotaa nyingii sana usonii