Chupa mpya, mvinyo ule ule...(?)

kwangu mie hiyo sio lazima kabisa, cmpi/acnipe yake....yaeh kuna privacy jamani.

Thx nyamayao...Nahisi kuna ulazima wa kukubaliana madhali mume na mke nyote mpo nyumbani, ni bora anayetaka wapigia awapigie kwa Landline jamani.

Hizi mobile fone zikiwa on majumbani zinazua maswali mengi kuliko majibu. Mtu mzima anapigiwa simu anajifanya eti hasikii, au hamjui aliyepiga, ...ukimwangalia vizuri unamwona macho yamemtoka!

Kwa wale addicts wenzangu wa jf na mitandao, tuwafikirie wenza wetu pia. Kuna time ya kudiscuss maisha na mwenzako, sio inakuwa Jf tenaaa..hulali mawazo yote kwa mwj1, nyamayao etc lol!
 
Yani umenikuna , upo na mtu 24/7 ana chat mwenyewe umejihesabia mtoko wako mkifika huko mwenzio bize na simu yani zile hasira zangu hazikawii na utamu wa kuwa wote unaisha kabisa.

 
mbu hamna ulazima wowote wa kupeana password za vitu ulivyotaja lakini pia si uvamizi kwa maana huyo ndiye uliyeridhia kuwa mwandani wako so why to hide anyway. hapo unaanza kumpa wasiwasi maana kwa kutumia kigezo cha kuaminiana kunawafanya wa take advantage. pia si issue ya kuchunguzana ila ni issue ya kumfanya ajifeel zaidi kwamba she or he the only kwako. kwa mfano mimi mwandani wangu ana uhuru wa kutumia simu yangu anytime she need it but haruhusiwi kupekua wakati sipo ni makubalianao tu. but kama una panya zako yuo have to be so careful unaweza kuwa ndio mwisho wa mahusiano yenu. so you are the judge which way is right for u depending with your back screen yako ni mawazo yangu lakini
 
Reactions: Mbu
Tabia ya kupenda ku-explore mambo zaidi na kutaka details zaidi mpaka uridhike hiyo ni personality ya mtu na haiwezi kubadilika ila mtu anaweza tu ku control ili asiumize watu wengine/ hisia za wengine, hiyo ya dharau punguza sio nzuri but kuhusu nephew wako bado ana learn vitu vingi na personality yako mara nyingi ni msaada sana kwa mwanafunzi kwasababu anaweza ku explore vitu vingi kwenye shule yake. hongera sana kwa kujitambua kiundani, very good
 
Reactions: Mbu
Jamani kinga ni bora kuliko tiba!
Na ugonjwa wa mistrust sidhani kama una tiba, hasa kwa wapenzi wa ukweli!

Kupeana mipassword ni sawa na kuleteana matatizo; wengi wetu humu ni wafanyakazi, imagine how you joke with ur coleagues; maforward ya emails mnayotumiana; yote hayo yawe exposed kwa mwenzi wako sidhani kama ataamini ni utani tu! Mfano mdogo humu ndani ya MMU sidhani Kama wenzi wetu wanajua id zetu na password zetu!

Imagine mwenzio kakuta SMS or email ya utani? Do u think ataamini kuwa it's just a joke? Hapo ndipo kutoaminiana kunapambo moto; na zingatia kuwa kuanza kupekua pekua ni kutafuta makosa na frankly speaking ukitafuta makosa utayapata tu, kwani unamagnify hata kakitu kadogo.

So mi sifagilii kabisa kupewa password zozote, kama ni lazima fungueni email ya pamoja n tell ur buddies/ndugu kuwa that is a shared email acount.
 
Thanks sana MJ1 kwasababu haya maneno yako yamekumbusha kitu ambacho nilikisahau kabisa kwenye maisha yangu, impact ya malezi ya mtu alipokuwa mtoto kwenye utu uzima wake. Yani leo ndio nimegundua kuwa partner wangu mama yake hakuwahi kumnyima kitu au kumkatalia kitu utotoni kwake basi impact yake imekuwa kubwa mno kwa sasa ambapo ni mtu mzima, hawezi ku interact vizuri na watu, asante sana kwa kunisaidia kugundua hilo tatizo. Hakika hii thread ya Mbu imetusaidia wengi, asanteni wote kwa kuchangia, mmetusaidia sana
 

Mwj, One and Only, na wengineo mliofaidika...Mbu furaha yake ni kuleta faraja na matumaini mapya. "Akili ni sawa na mwavuli, mpaka utapoukunjua ndipo utapokukinga na jua/mvua!" ...Muwe na heri na baraka kwenye ufunuo mpya.
 

You are Joking, aren't you?
Mwanaume akikwambia hivyo, jua anataka 'ufanane fanane' na hulka za mama yake/mama mlezi wake.
Kina mama msinijie juu, kama nanyi ni wazazi wa watoto wa kiume, ipo siku mtafurahia mwanao akijisifia
Mama yake ndiye special lady, hakuna wa mfanowe!
 
hahaha haya bwana...cnaga za hivyo, sema nikipandwa na hacra kuzishusha ni ngumu sana, huwa anajitahidi acnijibu coz tunakuwa tumeingia kwenye ushindani sasa mpaka nitulie tuweke mambo sawa....

Mnh, dadangu I hope hizo hasira zako sio zile za kuvunja vunja kila kitu na kurarua nguo za shemeji!
Kuna watu wana visa majumbani acheni tu! ...hasira zile tunazoita za kutiana hasara!
 
Yani umenikuna , upo na mtu 24/7 ana chat mwenyewe umejihesabia mtoko wako mkifika huko mwenzio bize na simu yani zile hasira zangu hazikawii na utamu wa kuwa wote unaisha kabisa.
aisee... hii sredi imetoa siri za watu!!
 
swahiba hapo hata mie umeniacha hoi... Hivi wale wastaarabu na wanajua kabisa mama zao hawafai kwa maneno nao waksiema be a lady wanataka ufanane na mama jamani??

anyway, nayaacha hayo.... we can go a mile to discuss this but the fact remains the same, it is very difficult to understand a creature human being... be a male or female
 

...mnh, "hata nguo ukiikamua sana huchanika..!"...punguza hiyo tabia ya kung'ang'ania kuambiwa ukweli.
Tambua kwa tabia yako hii, unalazimisha kuambiwa uwongo zaidi kwakuwa akilini mwako unakusudia upatiwe jibu fulani.

Nahisi tayari mumeo nae keshajua ni uongo gani akikwambia utakubalika kirahisi kwako ili yaishe.
Siku utayokuja tambua kumbe haikuwa vile, hakika utajilaumu sana. Jifunze kuamini ewe dada'ngu.
Huwezi kupata ushahidi kamili wa kila kitu. Kulazimisha uambiwe ukweli ni kujiondolea furaha tu maishani.

Acha!



DAAH, hiyo tabia ya kuondoka bila kuaga ni tabia mbaya sana.
Kiini chake ni kwenye malezi utotoni nini?
Hebu badilkika bana, kuaga kunaepusha mengi.

(Mw'Mungu apishilie mbali,) Waweza pata ajali, au panaweza tokea msiba nyumbani wewe ukawa huna habari,
Ni muhimu ujulikane wapi umekwenda ili kuondoa mashaka,
au kurahisisha kutafutwa iwapo kutakuwa kumetokea dharura yeyote.

Badilika bana.
 

kamanda,...
ndiyo maana nikaiwekea mabano madogo ya 'afanane fanane!'...kwa maana si kila tabia ati!
Ukiangalia, Mwj1 amezungumzia suala la kuchakarika kufidia pale anapoona pamepwaya,....
Yule shemeji yetu, yeye kwa mtizamo wake alamwambia Be a lady!... tafsiri ya haraka haraka kajifunzia wapi kwamba baba analeta
kinachokosekana nyumbani?...this starts from our childhood mkuu.

Malezi ya utotoni ndiyo yanayo influence kwa kiwango kikubwa maisha yetu ya usoni. Kuna mamuzi mengi ambayo unayachukulia in reflexes kwakuwa tayari kwenye ubongo ilishakuwa stored kwa jinsi ulivyowaona mama na baba wakishi.
Tafakari mkuu, ipo siku utakuja gundua ni kwa jinsi gani malezi yako yame influence maamuzi yako kwenye ndoa. Kama huamini, Ongea/muulize mwanao General questions , nakuhakikishia majibu yake kwa asilimia kubwa yatatokana na experiences zenu hapo nyumbani. - "Mtoto Umleavyo!" -
 

kuna ukweli sana aisee.... sasa na hawa wachakachuaji inakuaje?
 
....sitaki mkuu, wamenielewa.... naomba wasinipige mawe

dahhh, haya bana,

umeniacha 'salender' na kiswahili cha kisasa.
kuna haja nianze kukipiga brush upya kimrima (kiswahili) changu kiendane na slangs za mujini!
 
dahhh, haya bana,umeniacha 'salender' na kiswahili cha kisasa.kuna haja nianze kukipiga brush upya kimrima (kiswahili) changu kiendane na slangs za mujini!
Kama nimemsoma MTM vizuri (naomba usinishushue bro) anamaanisha wale ambao wako ndani (ya ndoa/mahusiano) ila hawaishi kutoka nje!!!
 
Reactions: Mbu
Kama nimemsoma MTM vizuri (naomba usinishushue bro) anamaanisha wale ambao wako ndani (ya ndoa/mahusiano) ila hawaishi kutoka nje!!!

Lizzy,

...mmnnn? hivyo ni vijitabia vya kujifunzia 'ukubwani,'...hakuna aliyejifunzia hilo kwa baba/mama. Kwa tuliosoma Boarding Schools (za mchanganyiko) nadhani 'tatizo' lilianzia hapo...

...Shuleni ilikuwa competition ya popular girls/boys (kwa kina dada),....kisha unaendelea nayo Colleges/Uni...baada ya kumaliza mwaka wa kwanza, kisha taratibu unaanza kupunguza idadi vs siku 365 za mwaka.

By the time unaanza apprenticeship, unakuwa na kauwoga ka mtu kung'ang'ania/kuhamia..
...unaishia kuwa na long term partner, mostly ni yule mliyekua nae mtaani, au mliyekutana nae College/Uni,
na wachache kwenye hizo 1st work experiences.

Ukiona mtu anaendeleza 'libeneke' ujue kuna hitilafu kwenye self esteem yake, kiasi kwamba kuongeza idadi kunamsaidia ku boost ego ya kitu kilichokosekana kwenye hatua mojawapo ya makuzi yake.

Hivi, nani miongoni mwetu aliye tayari ku confess ni serial cheater hapa?
Ajitaje tu nitamsaidia mawazo...si mnatumia Annony names bana, lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…