Chura anaish mazingira favourably na suitably.. Kama hakuna mazingira yakumfanya aish at a disappear...Wadau habari za jioni
Naudhuria katika hadhara hii kulizungumzia jsmbo ambalo nimeliona katika jiji lenu la dar
Kila nikitembea niaona chura wanarukaruka chura wamejaa kila kona tofauti na mikoani
Je chura hao wamesababishwa na nini hapa dar
Kila bint kajaza kila mwanamke kajaza ni chura kwenda mbele
Je chura wananesanesa kila kona ya darwanasababishwa na nini
Naomba nijuzwe maana chura wa mikoani si kama hawa wa dar
Au kwa kuwa chura hawa wamevalishwa masuruali majeansna masketi mafupi na ya kubana
Ndio maana yananesanesa?
Wadau kazi kwenu
Yale yatadedea yashuke kwenye miguu ka matendeMkuu sio kuwa wataongezeka kwa kasi ya ajabu
Maana kuna za mchina na nyinginezo
Zitatowekaje mkuu
Mchina haoUnataka kumchunguza bata.....
Wanawake wa Dar ndo asili yetu hiyo[emoji196] [emoji196] [emoji196]
Hili nalo nenoWanatatuliwa malinda Sanaa wengi wao
Nakubali mkuu ila ipo sababu zaidi ya hiyo maana vyura wengine wanatisha wananesanesa hata zaidi ya snura
Jamani kunani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseehh!Nyie jamaa wa mikoa bwana... mkija town kila kitu mnashangaa...
Hawa wa huku hawabeb ndoo kichwan.. hawatwangi mahindi... wala hawatembei mwendo mrefu...lazima kyura kiwepo
Hahahahahaa hizo lips zako...hata ukiwa umepigwa pasi...lips zinauwa kila kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseehh!
mie Niko flat kama pasi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahahaa hizo lips zako...hata ukiwa umepigwa pasi...lips zinauwa kila kitu
Jitahidi kula chips
Chura atakuja tu