Chura kuwa wengi Dar inasababishwa na nini

Chura kuwa wengi Dar inasababishwa na nini

Hawa viumbe Wameamua wenyewe siku hizi kutunuku ndogo zao mkuu
 
Wadau habari za jioni
Naudhuria katika hadhara hii kulizungumzia jsmbo ambalo nimeliona katika jiji lenu la dar
Kila nikitembea niaona chura wanarukaruka chura wamejaa kila kona tofauti na mikoani
Je chura hao wamesababishwa na nini hapa dar
Kila bint kajaza kila mwanamke kajaza ni chura kwenda mbele
Je chura wananesanesa kila kona ya darwanasababishwa na nini
Naomba nijuzwe maana chura wa mikoani si kama hawa wa dar
Au kwa kuwa chura hawa wamevalishwa masuruali majeansna masketi mafupi na ya kubana
Ndio maana yananesanesa?
Wadau kazi kwenu
Chura anaish mazingira favourably na suitably.. Kama hakuna mazingira yakumfanya aish at a disappear...
So mazingira yake yanampa uhalali
 
Yaani baada ya miaka mitano hao chura watatoweka kama wale wa kihans
Mkuu sio kuwa wataongezeka kwa kasi ya ajabu
Maana kuna za mchina na nyinginezo
Zitatowekaje mkuu
 
Chura karudi tena uwanjani
 
Nyie jamaa wa mikoa bwana... mkija town kila kitu mnashangaa...
Hawa wa huku hawabeb ndoo kichwan.. hawatwangi mahindi... wala hawatembei mwendo mrefu...lazima kyura kiwepo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseehh!

mie Niko flat kama pasi!
 
Back
Top Bottom