Chura sina na sura nayo nisipake makeup? Before & After

Hata unamakunyazi yanapotezwa fastaaaa na tunakusahau

#NguvuYaMakeUp
 
chamsingi chini msiaze kupaka make up
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko kuna valiwa vipin ckuiz..

MakeUp bado ila huenda hapo baadae zikawepo,watu wanabun vitu kila kukicha,Wanaeza pata chochote chakupaka huko ili kuvutie
 
Taratibu sasa, hao ni wanaume wa namna gani? Au pengine sifahamu maana nzuri ya make up?
Wanaume kama wanaume

Kama Joti anavyokuwaga Dada kiboga
Huwa Anapendeza right???
 
Wengina huwa wazuri sana bila izo makeup sema wanapenda kuzitumia

Uwe unachunguza kwanza ucje uziwa mbuzi kwenye gunia
Kumbe tunauziwaga mbuzi kwenye gunia
 
Halafu na hayo mabaka baka ya kwenye sura zao ni kweli au niaje aje?

Excuse my language.
Ni uso wa mtu ulivyo,huenda ikawa aliungua na kemikali za kwenye vipodozi au ndivyo alivyozaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…