Chura sina na sura nayo nisipake makeup? Before & After

Chura sina na sura nayo nisipake makeup? Before & After

.
42719708_1893341697414898_999810297076121600_n.jpg.jpeg
 
Wanawake bwana [emoji23][emoji23]

Wanaume tunakulaga vitu vya ajabu sana,,,, cha muhimu tujitahidi tuwe na chama chetu bungeni ili tupate wa kututetea
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] xawa n kuwapa maji wanawe uso, mengine ndio yafate
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] xawa n kuwapa maji wanawe uso, mengine ndio yafate
Ukishampenda huezi kukumbuka kumpa maji anawe,utamwangalia tu nakusmile uku ukisifu umbaaji wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukishampenda huezi kukumbuka kumpa maji anawe,utamwangalia tu nakusmile uku ukisifu umbaaji wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye Kupenda Haoni Hata Chongo Atasema Kengeza 😂😃😁😀✍

Chongo Kwa Mnyamwezi Kwa Mzaramo Amri Ya Mungu 👏🤝😁
 
Back
Top Bottom