Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]He mm nikitaka kumtongoza dem saiv hadi anawe na sabuni ya unga na brash usoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji23][emoji23]
Umeshtuka kama ndo umeamka asubui alafu unamkuta mrembo uliebeba jana club katoka kuogaMungu wangu![emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Hahaha. Umenifanya nicheke kwa huu mfano wako.Wanaume kama wanaume
Kama Joti anavyokuwaga Dada kiboga
Huwa Anapendeza right???
Nawaza tuu, hivi kumbe nikipodolewa naweza kuonekana binti mpaka wajukuu zangu wakashangaa??Utakuwa msupuu balaa!!!
Chamsingi upate mtu anaweza kukupaka vizuri ,ucje ukaenda salon ilimrad salon,hapo lazima ujutee
Mh! Hilo swali kwangu ni gumu.Haswaaaa...
Ni mrembo au sio???[emoji23][emoji23]