love you
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 727
- 728
Hahaaaha..eti zimechambukaIvi kumbe na kope hua wanazichana maana zimechambuka[emoji16][emoji16][emoji16]
Zina chanwa vizur tu ila hizo apo niza kubandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaha..eti zimechambukaIvi kumbe na kope hua wanazichana maana zimechambuka[emoji16][emoji16][emoji16]
Ndio maana kwenye ki date cha kwanza mimi huwa nawapeleka swimming
Ukianza kupaka naomba unipiem....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Dah! Kuanzia leo nitaanza rasmi kupaka makeup
Ukijua unachokihitaji makeup za barabaran hazitakuchanganya kamweh,Mtu anaacha mke mzuri nyumbani anakutana na kitu make-up ana changanyikiwa wakati hata mke akipaka anaweza mshidi hata huyo lakini ndiyo hivyo tukale wapi !
Ndio ukitaka kujua mumsi wako ni mrembo mwangale anapoaamka asubuhiKumbe tunauziwaga mbuzi kwenye gunia
Wanawake kazi mnayo.Kope hubandikwa za bandia kama nywele vile watu wanavyo vaa wigi au Kishinea weaving
Siku hizi asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kujipodoa ,nafikiri ni kwasababu ya kuongezeka kwa watoa huduma hii kuwa wengi kwasasakwani wanawake wote wa kuoa wapo na mapendeleo ya kuvaa hizo make up?!
napenda natural ni kweli.
cc bbade
kwasababu ya kuongezeka kwa watoa huduma au kuongezeka kwa wataka huduma?Siku hizi asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kujipodoa ,nafikiri ni kwasababu ya kuongezeka kwa watoa huduma hii kuwa wengi kwasasa
Na bei pia kuwa affordable
Tafuta mke mapema mkuu asije ukakosa