James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Cha ajabu ni kuwa picha zote zinavutia kabla ya kupaka make up isipokuwa namba 4567 pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji38][emoji38][emoji38]Hii roho mbaya sasa. Ukitaka kumla bata usimchunguze.
Hiyo ni ajali kazini, tunapambana nayo kike[emoji6]Raha ya Make-up inyeshe mvua halafu huna gari wala Mwavuli!!!!
Siwezi kutoka nje bila makeup
Nimekuwa addicted
Bora usitumie kabisaaaNatamani ningekua hivyo.
Zaidi ya lip gloss sina ninachoweka usoni, nikitoka nikiona wenzangu wamependeza natamaniii ila ndiyo vimenipita kushoto
Bora usitumie kabisaaa
Ukizoea utashindwa kuacha
Baki ulivyo,matumizi ya vipodozi kwa muda mrefu yana madhara
yaani unalala na mtu 1 unaamka na mwingineHuez ata kugundua ndo kwanza utaona anazid kupendeza kila kukicha
Unaeza kupaka Mara moja moja kwenye matukio kama hayo cyo MbayaIla wanapendeza ukimuangalia mtu kawakaa wewe upo na kalipstick tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu anaenda harusini lazima apite kwa make up artist
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani unalala na mtu 1 unaamka na mwingine
China kuna jamaa alimshtaki mkewe alifanya Plastic Surgery akawa mzuri wakazaa watoto wabaya jamaa akamshtaki kwa kumdanganya na akashinda kESI
Wewe ndo wale mnakuwaga na mwanamke chura kubwa ,sura hanaKama huna chura hizo hela za make up kazitumie kwenye ujasiriamali ,narudia ,tunataka chura