Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Rafiki kwa sababu chura ipo hamna haja ya makeup![emoji41][emoji41][emoji41]Dah! Kuanzia leo nitaanza rasmi kupaka makeup
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki kwa sababu chura ipo hamna haja ya makeup![emoji41][emoji41][emoji41]Dah! Kuanzia leo nitaanza rasmi kupaka makeup
Kwa sura ulio nayo makeup ni lazima![emoji41][emoji41][emoji41]Siwezi kutoka nje bila makeup
Nimekuwa addicted
Watoa huduma za makeup ni wengi ,wameanzisha mpk madarasa ya urembokwasababu ya kuongezeka kwa watoa huduma au kuongezeka kwa wataka huduma?
acha niendelee kusakasaka wasiovaa hizo make up nioe fasta kabla hawajaisha wote! [emoji119][emoji119][emoji41][emoji41][emoji41][emoji126][emoji126][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji2089][emoji2089][emoji2089]Rafiki Behaviourist umekuja hadi huku??
Kwa sura ulio nayo makeup ni lazima![emoji41][emoji41][emoji41]
Sipati picha mvua inaponyesha unavopata mawazo[emoji23]
Utarudi kuwa kigoli,uendelee kumpagawisha Dadiiii!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole..ukizoea make up inakuondolea confidence ..me ukiniona nimepaka make up ujue naenda kwenye partySiwezi kutoka nje bila makeup
Nimekuwa addicted
Dah! Kuanzia leo nitaanza rasmi kupaka makeup
Hata chura si inaongezwa tu?Wanaume wengi wanasemaga hawapendi mwanamke anae jipodoa
Ila wacha tu tujipodoe kwakwel mpk mkituona barabaran mpagawe
Chura sina na sura nayoo[emoji57][emoji57]
View attachment 960437View attachment 960438View attachment 960439
Namuosha uso😉😉😉😉😉Hahahahahaaaaaaas!!!!
Umetisha sana mkuuu
Kama hajui kuogelea utafanyaje??