Atakuwa anamaanisha make up ya hela........Taratibu sasa, hao ni wanaume wa namna gani? Au pengine sifahamu maana nzuri ya make up?
Narudia tena sura hata mbuzi anayo ila sisi tunatizama wowowo ,mwenye tako anajiamini kuliko degreeWewe ndo wale mnakuwaga na mwanamke chura kubwa ,sura hana
Unabaki kumsifia ana zigo la kuvunja chaga,wakati hata kumtaza uson Mara mbili huez
Nimemaanisha makeup hizi tunazotumia wadada,Atakuwa anamaanisha make up ya hela........
Yaaani ukimkuta kaazima gari na bet/mkeka umetemaa....
Lazima viumbe hawa waingie kingi tu wazima wazima.
Kwanza ngoja nisichati na wewe huna msambwanda ,unanipotezea muda bora nicheze gemu la nyoka.Heheheheeeee
Aiyaaa buana
Nenda IG ukaangalie msambwanda wa Sanchi Usafishe macho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza ngoja nisichati na wewe huna msambwanda ,unanipotezea muda bora nicheze gemu la nyoka.