Church fund 'not enough' to right slavery wrongs

Hata hiyo BAKWATA ni Nyerere alishauri iundwe. Waislamu hawana mfumo wa uongozi kama ilivyo kwa madhehebu ya Kikristo.
 
Hata hiyo BAKWATA ni Nyerere alishauri iundwe. Waislamu hawana mfumo wa uongozi kama ilivyo kwa madhehebu ya Kikristo.
Nyerere alikuwa muwakilishi wa kanisa katoliki East Africa.
Kwa sababu waislamu ndio waliomuweka madarakani wakatoliki wakaona waislamu watakuja kumtoa madrakani na kuufuta kabisa Ugalatia Tanzania
ndio akaanzisha Bakwata.
Kumbe waislamu ni watu waungwana sana.
Wala hawajali nani anaamudu nini. Muhimu kuheshimiana na kuwa na mipaka ya nidhamu.

Mpk leo mfumo kristo unapambana sana kudhibiti waungwana lkn unafeli vibaya mno
 
Blah blah blah.
Bring evidence of your claims here.
Porojo za wazungu peleka kwengine.
 
ni wapuuzi, hawawezi kujitenga na biashara hii, wakati church of england wakiomba radhi waarabu waislam nao waombe radhi kwa kuhusika kuuza waafrica kama bidhaa
Leta ushahidi mwarabu aliuza mwafrika .
We unadhani kama kungekuwa na ushahidi leo waarabu wangeachwa kufunguliwa mashtaka kama walivyoshtakiwa MAKANISA YA WAZUNGU?

Wewe umejazwa historia na mzungu. Ameandika vitabu kukupumbaza wewe na mimi kuwa waarabu walitesa watu wetu .
leo tumeona wazi kuwa waarabu hawakuhusika kabisa na biashara hio haramu. Ndio maana hakuna taifa la kiarabu limeshtakiwa wala kulaumiwa.

Someni mpate kuelewa Historia ya kweli. Acheni kubeba utumbo wa wazungu.
Mtaathirika sana.
 
Kajifunze kiingereza wewe.Unajivunia lugha ya makafiri kutaka kuprove umesoma.Hard evidence ipi unataka zaidi ya historical facts.Mtume wako hakuwa na watumwa?Aliletewa na wazungu?Mwarabu kwenye utumwa hasafishiki

In the annals of time, a scholar stands tall,
With intellect vast, yet enigmatic to all.
Inscribed in the tomes of antiquity's lore,
But comprehension eludes, like waves on the shore.

Each page turned reveals a mind's labyrinth maze,
Where echoes of wisdom in a mystifying haze.
Their thoughts, like constellations, scattered and bright,
Yet deciphering meaning remains out of sight.

In the halls of academia, they stride with grace,
But their words, like whispers, in a distant space.
History's tapestry, they weave and they spin,
Yet to unravel their secrets, where does one begin?

Their insights profound, yet shrouded in mist,
A puzzle unsolved, a riddle persist.
Though educated and wise, their path seems obscured,
In the depths of their knowledge, mysteries endured.

So let us ponder the enigma they bear,
For within their complexities, truths may flare.
An educated mind, a puzzle to unravel,
In the annals of history, a tale to marvel.
 
Blah blah blah.
Bring evidence of your claims here.
Porojo za wazungu peleka kwengine.
What more “evidence” do you expect other than that what’s written? First-hand accounts by the survivors themselves on videotape from the 1800s?
 
Blah blah blah.
Bring evidence of your claims here.
Porojo za wazungu peleka kwengine.
What more “evidence” do you expect other than that what’s written? First-hand accounts the survivors themselves on videotape from the 1800s?
 

In hearts of humans, biases dwell,
A silent force, they often tell.
No one escapes its subtle sway,
It colors thoughts in shades of gray.

From birth to old age, we're shaped,
By biases, both overt and draped.
Inherent, learned, they intertwine,
Shaping perceptions, defining the line.

Skin hues, beliefs, and backgrounds diverse,
Fuel prejudices, making hearts terse.
No soul immune, we all succumb,
To biases, silent, yet loud as drum.

Yet in awareness lies our chance,
To break free from biases' trance.
With open minds and hearts unfurled,
We can embrace the beauty of the world.

For biases may linger, but they can't define,
The essence of humanity's shine.
Let empathy guide, let understanding bloom,
In a world where biases find no room.
 
Kwahiyo kwa hali kama hiyo ambapo hakuna centrally organized institutions zinazowakusanya Waislamu chini ya mwavuli mmoja unaotambulika katika jamii, hapo utamfungulia nani kesi ya uhusika wa waarabu na uislamu katika biashara ya utumwa? Mufti mkuu wa msikiti wa Makaah? Kwanza sheria za Kiislamu hazina nafasi kwa wasiyo waislamu. Na watumwa wengi kama siyo wote walikuwa siyo Waislamu. Hypothetically speaking, kama Vizazi vya sasa vya Wahanga wa biashara ya utumwa wangetaka kufungua kesi ya madai dhidi ya “uongozi” wa dini ya Kiislamu, nani angekuwa mshitakiwa na kwa sheria zipi?
 
vitabu vya historia mashuleni ndio vimeandika akina tip tip waarabu ndio walikuwa vinara wa biashara hiyo na soko la watumwa afrika mashariki lilikuwa bagamoyo na zanzibar. Hata hao wazanzibar machotara na hao weusi walitokana na watumwa enzi za utawala wa kiarabu zanzibar. Asilani mwarabu hawezi kujinasua katika kashfa ya kuuza watu wa afrika
 
Narudia tena kwa mara ya tano SOMA KIJANA.
SOMA UPATE WELEDI.

Nchi pekee ya kiarabu ilioleta watu wake pwani ya Africa mashariki ni OMAN.

sio Saudia wala Dubai wala Yemen.
Hio ipo ktk vitabu vya historia vya waarabu, waingereza wareno pamoja na wajerumani.
Nikisema ushahidi maana yangu kuwe na historia zaidi ya moja inayosema hivi.

Sasq kama upo ushahidi wenye mashiko wa namna hio unao onyesha kuwa waarabu wa OMAN walihusika na Biashara ya watumwa Leteni hapa tuwashtaki.
Very simple.
 
Sio kila mwarabu ni muislam rekebisha hapo, na kipindi hicho waarabu wengi walikuwa sio waislam.
 
Asante kwa ufafanuzi wako mkuu. Kwahiyo kwa kiwango chako cha weledi na usomi uliotukuka, hakuna ushahidi wowote kuwa Waarabu wa Oman walihusika na biashara ya utumwa?
 
Ngoja nikusaidie kidogo.
Ili uweze kutambua ukweli wa kitabu chochote lazima umjue muandishi nje ndani.
Kisha utazame je kuna habari km hio kwa muandishi tofauti kabisa na huyu wa awali. Wa taifa tofauti.
Asie na uhusiano wowote na muandishi wa awali.
Historia ya kweli yyt dunia hutoikuta kwa waandishi wa nchi 1. Bali itakuwa imeandikwa na watu wa mataifa mbalimbali.

Mfano UISLAMU.
UTAUKUTA KWENYE HISTORIA ZA.
WAARABU.
WAGIRIKI.
WARUMI.
WARENO. Mpk WAHINDU.

Hapo ndio unahitimisha kuwa HISTORIA HII NI YA KWELI.

Sio kubeba kutoka kwa wakoloni wa kiingereza na waswahili waliotafsiri vitabu vya wakoloni.

Hio sio historia ya kweli bali ni Upumbavu walitufanyia wakoloni tubaki na ujinga maisha yetu yote.
Na sisi kufundisha watoto wetu Upumbavu huo huo
 
nenda pale mji mkongwe zanzibar ukamsome hemed bin mohammed el murjebi ujue ni nani huyo katika biashara ya watumwa afrika mashariki. Historia haidanganyi
 
Asante kwa ufafanuzi wako mkuu. Kwahiyo kwa kiwango chako cha weledi hakuna ushahidi wowote kuwa Waarabu wa Oman walihusika na biashara ya utumwa?
Hakuna kabisa .
Kilichopo ni hekaya za wakoloni wa kiingereza ambazo zimetafsiriwa na waandishi wetu wa kiswahili.
Na picha za kuchora za waarabu wanatesa waafrika.

Hakuna picha hata moja ya CAMERA inayo onyesha Waarabu wanatesa waafrika km zile wazungu kutesa waafrika.
We Google au nenda maktaba yyt duniani au museum yyt hutokuta ushahidi wwt wenye mashiko wa kuwahusisha waarabu na mateso wa waafrika.

Ndio nikarudia kusema kama kuna mtu ana ushahidi wa uhakika alete hapa tuwashataki waarabu leo leo.
 
nenda pale mji mkongwe zanzibar ukamsome hemed bin mohammed el murjebi ujue ni nani huyo katika biashara ya watumwa afrika mashariki. Historia haidanganyi
Hio history kaandika muingereza na umetafsiriwa na waswahili wa miaka ya juzi.
 
Mkuu kama umesoma Historia vizuri utaona dini zote zimehusika na UTUMWA. Tena upande wa dini ya kikristo walifanya utumwa baadaye sana baada ya watu wa dini ya Uarabu. Tena wao wakawa wa kwanza ku abolish, lakini hadi sasa UARABUNI kuna UTUMWA.
 
Hio history kaandika muingereza na umetafsiriwa na waswahili wa miaka ya juzi.
mbona picha ya tippu tip sio ya kuchora ni picha ya camera? Picha hiyo sio kama zile za kuchora mwarabu ameshika gobore huku anawaswaga waafrika kwenye msafara wa watumwa. Kwenye vitabu vya historia baadhi ya picha zinaonekana ni za kamera ukiacha zile za kuchora. Tuhitimishe mjadala, sasa kama historia iliandikwa na mkoloni na ipo hukohuko zanzibar pale mji mkongwe, je serikali inaonaje historia hiyo kuendelea kuwepo katika makumbusho yake? La sivyo ijulikane wazi ni kina nani walihusika na biashara ya watumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…