Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Nyerere alikuwa muwakilishi wa kanisa katoliki East Africa.Hata hiyo BAKWATA ni Nyerere alishauri iundwe. Waislamu hawana mfumo wa uongozi kama ilivyo kwa madhehebu ya Kikristo.
Blah blah blah.The arab slave trade was characterized by appalling violence, castration, and rape. The men were systematically castrated to prevent them from reproducing and becoming a stock. This inhumane practice resulted in a high death rate: six out of 10 people who were mutilated died from their wounds in castration centers.
Leta ushahidi mwarabu aliuza mwafrika .ni wapuuzi, hawawezi kujitenga na biashara hii, wakati church of england wakiomba radhi waarabu waislam nao waombe radhi kwa kuhusika kuuza waafrica kama bidhaa
Kajifunze kiingereza wewe.Unajivunia lugha ya makafiri kutaka kuprove umesoma.Hard evidence ipi unataka zaidi ya historical facts.Mtume wako hakuwa na watumwa?Aliletewa na wazungu?Mwarabu kwenye utumwa hasafishiki
What more “evidence” do you expect other than that what’s written? First-hand accounts by the survivors themselves on videotape from the 1800s?Blah blah blah.
Bring evidence of your claims here.
Porojo za wazungu peleka kwengine.
What more “evidence” do you expect other than that what’s written? First-hand accounts the survivors themselves on videotape from the 1800s?Blah blah blah.
Bring evidence of your claims here.
Porojo za wazungu peleka kwengine.
It’s a total waste of time trying to reason with someone who is evidently narrow minded and illogical. You want to cherry pick only those things, be they facts, half truths, lies and complete nonsense that appear to support your prejudiced world view. I’m out of here! Ciao!
Kwahiyo kwa hali kama hiyo ambapo hakuna centrally organized institutions zinazowakusanya Waislamu chini ya mwavuli mmoja unaotambulika katika jamii, hapo utamfungulia nani kesi ya uhusika wa waarabu na uislamu katika biashara ya utumwa? Mufti mkuu wa msikiti wa Makaah? Kwanza sheria za Kiislamu hazina nafasi kwa wasiyo waislamu. Na watumwa wengi kama siyo wote walikuwa siyo Waislamu. Hypothetically speaking, kama Vizazi vya sasa vya Wahanga wa biashara ya utumwa wangetaka kufungua kesi ya madai dhidi ya “uongozi” wa dini ya Kiislamu, nani angekuwa mshitakiwa na kwa sheria zipi?Nyerere alikuwa muwakilishi wa kanisa katoliki East Africa.
Kwa sababu waislamu ndio waliomuweka madarakani wakatoliki wakaona waislamu watakuja kumtoa madrakani na kuufuta kabisa Ugalatia Tanzania
ndio akaanzisha Bakwata.
Kumbe waislamu ni watu waungwana sana.
Wala hawajali nani anaamudu nini. Muhimu kuheshimiana na kuwa na mipaka ya nidhamu.
Mpk leo mfumo kristo unapambana sana kudhibiti waungwana lkn unafeli vibaya mno
vitabu vya historia mashuleni ndio vimeandika akina tip tip waarabu ndio walikuwa vinara wa biashara hiyo na soko la watumwa afrika mashariki lilikuwa bagamoyo na zanzibar. Hata hao wazanzibar machotara na hao weusi walitokana na watumwa enzi za utawala wa kiarabu zanzibar. Asilani mwarabu hawezi kujinasua katika kashfa ya kuuza watu wa afrikaLeta ushahidi mwarabu aliuza mwafrika .
We unadhani kama kungekuwa na ushahidi leo waarabu wangeachwa kufunguliwa mashtaka kama walivyoshtakiwa MAKANISA YA WAZUNGU?
Wewe umejazwa historia na mzungu. Ameandika vitabu kukupumbaza wewe na mimi kuwa waarabu walitesa watu wetu .
leo tumeona wazi kuwa waarabu hawakuhusika kabisa na biashara hio haramu. Ndio maana hakuna taifa la kiarabu limeshtakiwa wala kulaumiwa.
Someni mpate kuelewa Historia ya kweli. Acheni kubeba utumbo wa wazungu.
Mtaathirika sana.
Narudia tena kwa mara ya tano SOMA KIJANA.Kwahiyo kwa hali kama hiyo ambapo hakuna centrally organized institutions zinazowakusanya Waislamu chini ya mwavuli mmoja unaotambulika katika jamii, hapo utamfungulia nani kesi ya uhusika wa waarabu na uislamu katika biashara ya utumwa? Mufti mkuu wa msikiti wa Makaah? Kwanza sheria za Kiislamu hazina nafasi kwa wasiyo waislamu. Na watumwa wengi kama siyo wote walikuwa siyo Waislamu. Hypothetically speaking, kama Vizazi vya sasa vya Wahanga wa biashara ya utumwa wangetaka kufungua kesi ya madai dhidi ya “uongozi” wa dini ya Kiislamu, nani angekuwa mshitakiwa na kwa sheria zipi?
Sio kila mwarabu ni muislam rekebisha hapo, na kipindi hicho waarabu wengi walikuwa sio waislam.Kwa hiyo unasemaje labda waarabu hawakufanya biashara ya utumwa? Ya kutesa watu ? Masoko.ya watumwa Bagamoyo na Zanzibar na misafara ya akiba Waarabu akina tiptip.ilikuwa ya wazungu?
Wazungu wameomba msamaha bado nyie waarabu swala tano mliofanya biashara ya kuuza watumwa
Asante kwa ufafanuzi wako mkuu. Kwahiyo kwa kiwango chako cha weledi na usomi uliotukuka, hakuna ushahidi wowote kuwa Waarabu wa Oman walihusika na biashara ya utumwa?Narudia tena kwa mara ya tano SOMA KIJANA.
SOMA UPATE WELEDI.
Nchi pekee ya kiarabu ilioleta watu wake pwani ya Africa mashariki ni OMAN.
sio Saudia wala Dubai wala Yemen.
Hio ipo ktk vitabu vya historia vya waarabu, waingereza wareno pamoja na wajerumani.
Nikisema ushahidi maana yangu kuwe na historia zaidi ya moja inayosema hivi.
Sasq kama upo ushahidi wenye mashiko wa namna hio unao onyesha kuwa waarabu wa OMAN walihusika na Biashara ya watumwa Leteni hapa tuwashtaki.
Very simple.
Ngoja nikusaidie kidogo.vitabu vya historia mashuleni ndio vimeandika akina tip tip waarabu ndio walikuwa vinara wa biashara hiyo na soko la watumwa afrika mashariki lilikuwa bagamoyo na zanzibar. Hata hao wazanzibar machotara na hao weusi walitokana na watumwa enzi za utawala wa kiarabu zanzibar. Asilani mwarabu hawezi kujinasua katika kashfa ya kuuza watu wa afrika
hii ni shidavitabu vya historia mashuleni ndio vimeandika akina tip tip waarabu ndio walikuwa vinara wa biashara hiyo na soko la watumwa afrika
nenda pale mji mkongwe zanzibar ukamsome hemed bin mohammed el murjebi ujue ni nani huyo katika biashara ya watumwa afrika mashariki. Historia haidanganyiLeta ushahidi mwarabu aliuza mwafrika .
We unadhani kama kungekuwa na ushahidi leo waarabu wangeachwa kufunguliwa mashtaka kama walivyoshtakiwa MAKANISA YA WAZUNGU?
Wewe umejazwa historia na mzungu. Ameandika vitabu kukupumbaza wewe na mimi kuwa waarabu walitesa watu wetu .
leo tumeona wazi kuwa waarabu hawakuhusika kabisa na biashara hio haramu. Ndio maana hakuna taifa la kiarabu limeshtakiwa wala kulaumiwa.
Someni mpate kuelewa Historia ya kweli. Acheni kubeba utumbo wa wazungu.
Mtaathirika sana.
Hakuna kabisa .Asante kwa ufafanuzi wako mkuu. Kwahiyo kwa kiwango chako cha weledi hakuna ushahidi wowote kuwa Waarabu wa Oman walihusika na biashara ya utumwa?
Hio history kaandika muingereza na umetafsiriwa na waswahili wa miaka ya juzi.nenda pale mji mkongwe zanzibar ukamsome hemed bin mohammed el murjebi ujue ni nani huyo katika biashara ya watumwa afrika mashariki. Historia haidanganyi
Mkuu kama umesoma Historia vizuri utaona dini zote zimehusika na UTUMWA. Tena upande wa dini ya kikristo walifanya utumwa baadaye sana baada ya watu wa dini ya Uarabu. Tena wao wakawa wa kwanza ku abolish, lakini hadi sasa UARABUNI kuna UTUMWA.The £100m earmarked by the Church of England for a new investment fund to help repair damage caused by its historic links to slavery is "not enough", a report says.
- Nathan Standley
- Role,BBC News
- 4 March 2024
It comes after an investigation last year found the Church had invested large amounts of money into a company that transported tens of thousands of slaves.
The Church welcomed the report by the Church Commissioners charity and accepted its recommendations - but would not commit to raising the fund to the report's £1bn target.
The Archbishop of Canterbury, Justin Welby, said the report was "the beginning of a multi-generational response" to the "appalling evil" of slavery.
The Church welcomed the report by the Church Commissioners charity and accepted its recommendations - but would not commit to raising the fund to the report's £1bn target.
The Archbishop of Canterbury, Justin Welby, said the report was "the beginning of a multi-generational response" to the "appalling evil" of slavery.
Church of England's £100m 'not enough' to address slavery links
A report says the Church should apologise for its historic involvement in the slave trade.www.bbc.com
My take.
Leo tumejifunza kuwa KANISA lilitumika sana kufanya biashara ya watumwa kutoka Africa kwenda ulaya na marekani.
Yale mauwaji yote ya Waafrika na watoto wao KANISA LEO Limeamua kutenga fungu la pesa kuficha UOVU HUO.
Waarabu walipakaziwa Uongo huu ndio maana hakuna taifa la kiarabu limeshtakiwa kwa tuhuma hizo za biashara ya watumwa.
Kweli kabisa HAKUNA SIRI IKAFICHWA MILELE.
Sisi waafrika tuseme Haleluyah. Kumbe Walituletea Uongo wao kwa lengo la kuja kutuuza kama nyanya.
ILANI:
Wale wafuasi wa hawa wazungu walioua babu zetu sitaki Mapovu hapa.
Nawasilisha.
mbona picha ya tippu tip sio ya kuchora ni picha ya camera? Picha hiyo sio kama zile za kuchora mwarabu ameshika gobore huku anawaswaga waafrika kwenye msafara wa watumwa. Kwenye vitabu vya historia baadhi ya picha zinaonekana ni za kamera ukiacha zile za kuchora. Tuhitimishe mjadala, sasa kama historia iliandikwa na mkoloni na ipo hukohuko zanzibar pale mji mkongwe, je serikali inaonaje historia hiyo kuendelea kuwepo katika makumbusho yake? La sivyo ijulikane wazi ni kina nani walihusika na biashara ya watumwaHio history kaandika muingereza na umetafsiriwa na waswahili wa miaka ya juzi.